Kuelekea 2025 Tundu Lissu aige Mfumo wa Omtata, ateue Tume ya Kutafiti kama ana Uwezo wa Kushindana na Rais Samia ifikapo 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
95,980
168,353
Ninaelewa nyomi kwenye Mikutano yake ndio inampa picha kuwa anapendwa na Wananchi Lakini huenda anajidanganya

Inawezekana ile nyomi ni Wananchi wa kawaida tu na Siyo wapiga kura waliojiandikisha

Namshauri mh Tundu Lisu aunde Tume imfanyie Utafiti kama alivyofanya mh Omtata anayejipanga kumng'oa Rais Ruto hapo Kenya ifikapo 2027

Dominica njema 😃🔥
 
Ninaelewa nyomi kwenye Mikutano yake ndio inampa picha kuwa anapendwa na Wananchi Lakini huenda anajidanganya

Inawezekana ile nyomi ni Wananchi wa kawaida tu na Siyo wapiga kura waliojiandikisha

Namshauri mh Tundu Lisu aunde Tume imfanyie Utafiti kama alivyofanya mh Omtata anayejipanga kumng'oa Rais Ruto hapo Kenya ifikapo 2027

Dominica njema 😃🔥
Kwa nini usimshauri awe na watu wanaojua namna ya kukimbia vema na maboksi ya kura pamoja na watumishi wa NEC wanaojua kukosea kuandika idadi halisi ya kura?
 
Ninaelewa nyomi kwenye Mikutano yake ndio inampa picha kuwa anapendwa na Wananchi Lakini huenda anajidanganya

Inawezekana ile nyomi ni Wananchi wa kawaida tu na Siyo wapiga kura waliojiandikisha

Namshauri mh Tundu Lisu aunde Tume imfanyie Utafiti kama alivyofanya mh Omtata anayejipanga kumng'oa Rais Ruto hapo Kenya ifikapo 2027

Dominica njema 😃🔥
Nguvu ya kwangu, tume inayoamua ya kwangu, maumuzi ya kwangu. Unafikiri nitaamua tofauti na interest zangu... Aunde tume Ili iweje?!
 
Ninaelewa nyomi kwenye Mikutano yake ndio inampa picha kuwa anapendwa na Wananchi Lakini huenda anajidanganya

Inawezekana ile nyomi ni Wananchi wa kawaida tu na Siyo wapiga kura waliojiandikisha

Namshauri mh Tundu Lisu aunde Tume imfanyie Utafiti kama alivyofanya mh Omtata anayejipanga kumng'oa Rais Ruto hapo Kenya ifikapo 2027

Dominica njema 😃🔥
Waliojiandikisha wana alama?
U CCM ina watu toka mars?
 
Back
Top Bottom