Hahaaaaaaa,ccm lazima ife kifo cha mendeIteni majina yote lakini ikulu hamgusi milele.....2020 ni kuchinjwa tena
Unamaanisha nini? Tuna mt. Augustino, mt. John, mt. Maria, Mt. Peter, nk.mtakatifu ni Mungu tu
Unajua inachohoji?mtakatifu ni Mungu tu
kwanini haikufa 2015? muulize mzee wa chato airport LowasaHahaaaaaaa,ccm lazima ife kifo cha mende
Ambayo ni mtakatifu.... ambayo yake ni kwamba asiye na doa, hatia, hakosei na ndio maana akikosolewa anamind coz anaamini ndani yake kuna utakatifu wa kila anachokiwaza na kukitenda.Mbona Mwenyekiti wake, Mh Mbowe, hana title hizo za ajabuajabu? TunduLissu mpe heshima Rais wetu.
Maisha ya watanzania na furaha yao ni zaidi ya uchu wa ikuluIteni majina yote lakini ikulu hamgusi milele.....2020 ni kuchinjwa tena
RAIS wako na familiayako,mimi Rais wangu hata Akudo impact yupo.Mbona Mwenyekiti wake, Mh Mbowe, hana title hizo za ajabuajabu? TunduLissu mpe heshima Rais wetu.
Hamna karata nyingine,nafasi yenu pekee ya kumake things right ilikuwa kwa magufuli,sasa naye anapwaya!Ndio maana 2020 tunasema chaliiikwanini haikufa 2015? muulize mzee wa chato airport Lowasa
Hii kitu itamtafuna sana mtakatifu Yohana kwa sababu msema kweli ni mpenzi wa mungu.Mhh kazi ipo uzuri wamemuachia.