johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,375
- 138,533
Nimesoma hii taarifa kupitia ukurasa wa CHADEMA kule Twitter.
Haijaelezwa bayana sababu za ahirisho hilo la mkutano muhimu jimboni kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe ambaye anakabiliwa na ushindani mkali sana.
Taarifa zaidi zitakuja nafuatilia kwa karibu.
Maendeleo hayana vyama!
Haijaelezwa bayana sababu za ahirisho hilo la mkutano muhimu jimboni kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe ambaye anakabiliwa na ushindani mkali sana.
Taarifa zaidi zitakuja nafuatilia kwa karibu.
Maendeleo hayana vyama!