March 24, 2020
Radio Deutsche Welle Bonn
Ujerumani
Kipindi kinagaubaga Tundu Antipas Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA katika mahojiano maalum na Idhaa ya Kiswahili DW afichua kilichojiri katika mkutano wa hivi karibuni baina ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Pombe Joseph Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM taifa na baadhi ya viongozi wa upinzani Ikulu na sababu za chama kikuu cha upinzani kutoalikwa.
Radio Deutsche Welle Bonn
Ujerumani
Kipindi kinagaubaga Tundu Antipas Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA katika mahojiano maalum na Idhaa ya Kiswahili DW afichua kilichojiri katika mkutano wa hivi karibuni baina ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Pombe Joseph Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM taifa na baadhi ya viongozi wa upinzani Ikulu na sababu za chama kikuu cha upinzani kutoalikwa.