Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,638
- 11,983
Wajaribu waone moto wake!Hilo kanisa linaweza fungiwa au tozwa faini wawe makini
Wajaribu waone moto wake!Hilo kanisa linaweza fungiwa au tozwa faini wawe makini
Anaye lia ni yuke anayedhani kila neno aambiwalo anatukanwaMkuu pole sana usilie mchezo wa siasa ndiyo ulivyo. Siku mkibadilika na kuacha matusi, vyombo vya habari vitarusha matukio yenu live kwa kujiamini.
Chato kulikuwa na Taa za barabarani kabla ya Singida.by the way kwa miaka 20 hata kama hakuigusa chato lakini aliibadilisha Tanzania.Huyu mtoa mada nae ni mTanzania tena ukute ni kiongozi katika serikali hii inayotegemewa kuwatumikia na kuwaletea watu wake maendeleo; poleni sana waTanzania wenzangu.
Ukimuuliza kwanini Magufuli amekua mbunge wa Chato kwa zaidi ya miaka 20 lakini bado haikua ata na josho la kuogeshea mifugo? waTanzania tunapenda siasa uchwara sana.
Jimbo lake lipi?Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Nimehoji kuanzia alipokuja Tanzania.Ndiyo maana unaitwa "Jingalao" . Baada ya kuchukuwa fomu Dodoma, siku ya pili alienda wapi ?!. Na alisalinao , kabla ya kuanza kutafuta udhamini kanda ya ziwa.
Au ulitaka aende Lumumba ?!
Wewe kweli jinga lao, Tunafahamu alikwenda wewe umelala wapi? Usiongee kitu usichokuwa na uhakika nacho kama huyo Polepole wako...Anayeongea upuuzi mtupu.Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Mara hii mmeshasahau hadi jimbo lake...Alinyang'anywa baada ya kuonekana haleti maendeleoJimbo lake lipi?
Si mlimnyanganya ninyi?
Alienda lini ??By the way huenda mara ngapi??Wewe kweli jinga lao, Tunafahamu alikwenda wewe umelala wapi? Usiongee kitu usichokuwa na uhakika nacho kama huyo Polepole wako...Anayeongea upuuzi mtupu.
Mimi sigombei Urais MazeeAlafu wewe utakuta hukumbuki mara ya mwisho kwenda kijijini kwenu wala kusaidia wazazi wako
Alibadilisha Tanzania alafu hakuigusa Chato...Chato ni wapi sasa; ujianga ndo imekutawala.Chato kulikuwa na Taa za barabarani kabla ya Singida.by the way kwa miaka 20 hata kama hakuigusa chato lakini aliibadilisha Tanzania.
sasa nitajie huyo mlalamikaji wenu kaifanyia nini Singida Mashariki ??
Tatizo lako ni kuangalia TBC na Chanel ten muda wote sasa utajuaje kama aliwahi kufika Ikungi?Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Umesahau kuwa kuna thread humu mkilalamika alivyoipendelea Chato akiwa waziri?Tatizo lenu mmenunuliwa simu halafu hamjapewa uwezo wa hojaAlibadilisha Tanzania alafu hakuigusa Chato...Chato ni wapi sasa; ujianga ndo imekutawala.
Inaonyesha hujui hata unacho kiandika.Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki