Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,831
- 18,819
Tundu Lissu amefanya mashambulizi makali kwa Magufuli leo mara baada ya kuchukua fomu, amemsema Magufuli kwa namna amabavyo hajawahi kusemwa kwa miaka mingi huku wananchi wakishangilia
kwa mwendo huu Tume ya Uchaguzi na System nzima Tanzania huenda wakamuengua asigombee maana itakuwa hatari kwa mashambulizi anayoyafanya, Chadema na yeye mwenyewe wangejizuia kwanza wafanye kila kitu kwa upole kisha kampeni zikikolea mashambulizi ndio yakolee kiasi
kwa mwendo huu Tume ya Uchaguzi na System nzima Tanzania huenda wakamuengua asigombee maana itakuwa hatari kwa mashambulizi anayoyafanya, Chadema na yeye mwenyewe wangejizuia kwanza wafanye kila kitu kwa upole kisha kampeni zikikolea mashambulizi ndio yakolee kiasi