BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,580
- 2,340
Huyu bora wangemuua tu, wahusika walioshindwa kutekeleza lile suala ninawalaumu sana
Mbona kipindi Mwamba yupo hakutoa hayo matamshi?Huyo Tundu Lissu, ninachomsifu huwa haogopi kutamka lolote!
Kama ni nyeupe atasema ni nyeupe. Full Stop
Ukweli ndiyo huoKwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;
"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."
Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.
View attachment 2504783
Huyu bora wangemuua tu, wahusika walioshindwa kutekeleza lile suala ninawalaumu sana
Swali la kijinga sanaDuh
Kwani Yeye Tundu Lisu alikuwa anapinga nchi?
Wangese kama wewe mnatumalizia tu oxygen namuonea huruma Mama yako kukaa na Parasite miezi 9 bila hata kufanya abortionUnaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?
Kwahiyo yeye alikuwa anapinga nchi? Kwanini amehusianisha kauli hii na yeye? Inamaana inside his heart anajua alikuwa anapinga nchi ila hataki mpinga nchi afanywr anacho stahili, is it what he meant?Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;
"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."
Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.
View attachment 2504783
Kumbe tunaoona hili ni wengi, ninetoka ku post mara naona statement hiiDuh
Kwani Yeye Tundu Lisu alikuwa anapinga nchi?
1) Mwaka huu ni wangapi tangu Tundu Lissu apigwe risasi?Kazi mnayo. Vumilieni tu. Kosa kubwa lilofanyika ni kumshambulia na kumiss target.hilo kosa litawakost
Wewe ndio mjinga unayedanganyika kirahisiSwali la kijinga sana
we aliyekuzaa ana hasara ya jumla siyo kwa upumbavu huo
Sema amekukosea wewe, siyo Watanzania. Kama Rais alikuwa muuaji kwa nini asisemwe?Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.
Kakusoea wewe peke yako, usituingize ktk fikra zako.
Si yupo maneno maneno ya nini kila siku wakati mtendewa yupo fanyeni taratibu za kisheria ashughulikiwe la sivyo maneno ya uongo hayatasaidia kitu.Unaweza kumuua kichaa? Mbowe alivyosema alivamiwa kumbe mlevi tu ilikuwa sahihi? Kwanini Lissu hataki dereva wake ahojiwe? Ikitokea suala hili likaenda mahakamani atakataa asihojiwe? Kwanini?
Hata mmtetee vipi muuaji, kamwe hamtashinda. Kuna siku ninyi nyote mliohusika kwenye shambulio lile na mengine, mtahukumiwa sawa na matendo yenu. Kejeli zenu wala hazitawalindi dhidi ya uovu wenu.Tundu Lissu sio mzima wa akili. Ni wa kuonea huruma na kupewa matibabu.
Kwa Urais ule wa marehemu, ni afadhali kwenda gerezani mkachukue jambazi mmoja anayetumikia kifungo jela, aje awe Rais.Kama jpm aliweza kuwa rais sidhani kuna mtu anaweza kushindwa
Ni aheri tozo kuliko uuaji. Wewe hapo hata ukiambiwa au utoe milioni 10 au uuawe, utachagua nini?Raha kuwa na matozo ee?
Rais muuaji hatakiwi Tanzania.CCM na CDM watakavyo malizana kwenye majukwaa ya siasa watajua wenyewe..
Hila humu JF kwa sie ambao tunaelewa Magufuli hakuwa perfect ila dhamira yake ilikuwa njema kwa Tanzania awezi dhalilishwa kamwe. Either the culprit ni CDM au CCM.
Bora Magufuli kuliko (bi tozo + JK) binafsi nipo tayari kunyofolewq kucha kwa kauli hiyo ata pliers zikiwa mbele yangu.
Kutomhuaisha Magufuli na shambulio la Lissu ni kumkosea Mungu. Tena utubu mapema.Pia rais ni taasisi. Sasa mtu huko atoke anakotoka. Halafu aanze kusema rais ni muuaji. Hiyo inaleta taswira gani kwa wananchi kuhusu taasisi hiyo ya urais? Tundu lisu katukosea watanzania tulio wengi.