Tundu Lissu achukua fomu kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

Vijana wa nchi nzima????
WanaJF

Habari za hivi Punde ni kwamba Jabali la kisiasa Tanzania na Afrika Tundu Antipas Lissu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa na tayari amekwisha jaza fomu na kuzirejesha.

Akihutubia mkutano mkuu wa Kanda ya Kaskazini hivi Punde,Mwenyekiti wa chama Taifa Freeman Aikael Mbowe ameeleza kuhusu tukio hilo la kishujaa alilofanya Tundu Lissu.

Mbowe amesema Makamu Mwenyekiti wa sasa Professor Abdallah Safari ameomba kupumzika na hivyo Lissu ameona ni wakati muafaka kwake kuomba nafasi hiyo.

Wakati huo huo, Freeman Aikael Mbowe amekubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena nafasi ya Mwenyekiti Taifa na amerejesha fomu yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Akirejesha fomu hiyo huku akishangiliwa kwa mayowe na wajumbe wa mkutano mkuu Kanda ya Kaskazini Mbowe amesema alichukua muda mrefu kutafakari ombi hilo la vijana na alikuwa na nia ya kutogombea tena nafasi hiyo.Hata hivyo amesema alirudisha moyo nyuma baada ya kutizama imani kubwa waliyo nayo wanachadema kwake na kuona akikataa maombi yao itakuwa ni kuwasaliti.

Akizungumzia yaliyotokea katika uchaguzi Kanda ya Pwani Mbowe amesema amesikitishwa na mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu na akasema kwenye mambo haya ya uchaguzi huwezi kuzuia ajali za kisiasa.Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba Mhe Sumaye anahitajika ndani ya Chadema kama walivyo wanachama wengine na amesema yaliyotokea yatamalizwa kwa upendo na nidhamu ya hali ya juu ndani ya chama.
Sasa Mbowe c ndo angemuachia UENYEKITI "Jabali la kisiasa Tanzania na Africa"?????
 
Mambo ya kupita bila kupingwa yako huko kwenu CCM
okay sawa , mambo ya kupita bila kupingwa yako CCM...

sasa jibu swali...

huko CHADEMA anaetaka kiti katokea mmoja, kashindwa na kura za hapana, what's next ???

mnajaza vipi hicho kiti ???????

hukujibu, you have reached your wits end, yani kichwa chako kimefikiri, kimegota....

Walipoandika Katiba CHADEMA inawezekanaje hawakufikiria kitu obvious kama hicho?
 
okay sawa , mambo ya kupita bila kupingwa yako CCM...

sasa jibu swali...

huko CHADEMA anaetaka kiti kanda ya Pwani katokea mmoja, kashindwa na kura za hapana, what's next ???

mnajaza vipi hicho kiti ???????

hukujibu, you have reached your wits end, yani kichwa chako kimefikiri, kimegota, hujui....

Wakati wanaandika Katiba CHADEMA inawezekanaje hawakufikiria kitu obvious kama hicho
Tunaitisha uchaguzi upya na kwa sasa Kaimu Mwenyekiti ni Baraka Mwago
 
WanaJF

Habari za hivi Punde ni kwamba Jabali la kisiasa Tanzania na Afrika Tundu Antipas Lissu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa na tayari amekwisha jaza fomu na kuzirejesha.

Akihutubia mkutano mkuu wa Kanda ya Kaskazini hivi Punde,Mwenyekiti wa chama Taifa Freeman Aikael Mbowe ameeleza kuhusu tukio hilo la kishujaa alilofanya Tundu Lissu.

Mbowe amesema Makamu Mwenyekiti wa sasa Professor Abdallah Safari ameomba kupumzika na hivyo Lissu ameona ni wakati muafaka kwake kuomba nafasi hiyo.

Wakati huo huo, Freeman Aikael Mbowe amekubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena nafasi ya Mwenyekiti Taifa na amerejesha fomu yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Akirejesha fomu hiyo huku akishangiliwa kwa mayowe na wajumbe wa mkutano mkuu Kanda ya Kaskazini Mbowe amesema alichukua muda mrefu kutafakari ombi hilo la vijana na alikuwa na nia ya kutogombea tena nafasi hiyo.Hata hivyo amesema alirudisha moyo nyuma baada ya kutizama imani kubwa waliyo nayo wanachadema kwake na kuona akikataa maombi yao itakuwa ni kuwasaliti.

Akizungumzia yaliyotokea katika uchaguzi Kanda ya Pwani Mbowe amesema amesikitishwa na mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu na akasema kwenye mambo haya ya uchaguzi huwezi kuzuia ajali za kisiasa.Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba Mhe Sumaye anahitajika ndani ya Chadema kama walivyo wanachama wengine na amesema yaliyotokea yatamalizwa kwa upendo na nidhamu ya hali ya juu ndani ya chama.
Kwenye rangi nyekundu nimecheka kweli kweli,kumbe hata mwakani tukiamua tu ka muda kaongezwe zaidi inawezekana ili tusionekane wasaliti,napeleka hoja bungeni mwakani.
Chuma chuma tu.
 
Kwa nini wamepiga kura ya kuchagua Kaimu Mwenyekiti badala ya kufanya run off election ya kuchagua Mwenyekiti wa Kudumu?

Na katiba ya CHADEMA inasema makamu mwenyekiti anakalia kiti mpaka lini ?
 
Kwa nini wamepiga kura ya kuchagua Kaimu Mwenyekiti badala ya kufanya run off election ya kuchagua Mwenyekiti wa Kudumu?

Na katiba ya CHADEMA inasema makamu mwenyekiti anakalia kiti mpaka lini ?
Tatizo hujui na hutaki kujua.
Baraka Mwago ni Makamu Mwenyekiti Kanda so by default atakaimu nafasi ya Mkiti mpaka atakapopatikana
 
Tundu Lisu na DJ si ndio walio nunuliwa na maMvi kwa vipande vya fedha na yule aliyehoji ujio wa maMvi ali furushwa kwenye chama. Leo hii Nyumbu wana kushangilia wanaona wanapiga hatua za kisiasa. Kwa hakika aliye waita nyumbu hakukosea hata kidogo.
Weka pay slip au risiti ya manunuzi kama ushahidi, huna kajambie Lumumba
 
WanaJF

Habari za hivi Punde ni kwamba Jabali la kisiasa Tanzania na Afrika Tundu Antipas Lissu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa na tayari amekwisha jaza fomu na kuzirejesha.

Akihutubia mkutano mkuu wa Kanda ya Kaskazini hivi Punde,Mwenyekiti wa chama Taifa Freeman Aikael Mbowe ameeleza kuhusu tukio hilo la kishujaa alilofanya Tundu Lissu.

Mbowe amesema Makamu Mwenyekiti wa sasa Professor Abdallah Safari ameomba kupumzika na hivyo Lissu ameona ni wakati muafaka kwake kuomba nafasi hiyo.

Wakati huo huo, Freeman Aikael Mbowe amekubali maombi ya vijana nchi nzima ya kugombea tena nafasi ya Mwenyekiti Taifa na amerejesha fomu yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Akirejesha fomu hiyo huku akishangiliwa kwa mayowe na wajumbe wa mkutano mkuu Kanda ya Kaskazini Mbowe amesema alichukua muda mrefu kutafakari ombi hilo la vijana na alikuwa na nia ya kutogombea tena nafasi hiyo.Hata hivyo amesema alirudisha moyo nyuma baada ya kutizama imani kubwa waliyo nayo wanachadema kwake na kuona akikataa maombi yao itakuwa ni kuwasaliti.

Akizungumzia yaliyotokea katika uchaguzi Kanda ya Pwani Mbowe amesema amesikitishwa na mambo ya uongo yanayoandikwa na baadhi ya watu na akasema kwenye mambo haya ya uchaguzi huwezi kuzuia ajali za kisiasa.Hata hivyo amewahakikishia watanzania kwamba Mhe Sumaye anahitajika ndani ya Chadema kama walivyo wanachama wengine na amesema yaliyotokea yatamalizwa kwa upendo na nidhamu ya hali ya juu ndani ya chama.
Kwanini Tundu Lissu akili kubwa anazidiwa na Mbowe? TL ilibidi ndiye awe mwenyekiti na siyo Mbowe. CHADEMA ni wanafiki sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom