Wameweka wagombea vivuli mkuu ,kwanini kuwe na vipindi vingi vya kutawala je? Huyu msukuma akiongeza vipind mtafurahi mkuuMbona Sumaye kapigiwa kura ya Hapana na alikuwa mgombea pekee? Si ndiyo demokrasia hiyo? Ama hujui? Sembuse Mbowe anapambana na majabali mawili?