Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
wazee wa ndiooo wapo wengi..lisu anajisumbua tu
kweli aiseeAchan nao wewe msikilize upate elimu. Hta Yesu pia alizomewa sana
Asante Lissu nategemea utakua mkombozi wa taifa letu. Mwakyembe,Tulia na wengine wameponzwa na milioni 10.
Tatizo akivuka boda mnaanza kumtusi kuwa ni killazer, nyie watu hovyo kabisa!!Hatari sana huyu jamaaa, nchi hii ikiwa na watu watano tu wenye kutumia taaluma yao vizuri Kama huyu tungefika mbali sana,
Muswada umepitishwa yeye aende zake huko. Akachambue Katiba ya CDM inayomuwezesha Mbowe kuwa Mfalme!Asante Lissu nategemea utakua mkombozi wa taifa letu. Mwakyembe,Tulia na wengine wameponzwa na milioni 10.