Nikikumbuka ka milioni 3 kangu kamepotelea nssf huko..hasira zilipanda zikashuka nikatulia. Lisu amenikumbusha kidonda cha uchungu...CCM wameng'ang'ania pesa yangu tangu 2016.. Wakidai bado nachangia alafu hakuna mchango unaoingia tangu mwaka huo. CCM nikiwafikiriaga naona Lucifa pure, hasa nikitembea mabarabarani nikiona mabandiko yake huwa naona kama nimeingia kuzimu Lucifa anajinadi kila kona...natembea full kukemea kwa Jina la Yesu.tokaa!