Uchaguzi 2020 Tundu Lissu achambua mifuko ya Jamii na fao la kujitoa, CCM jibuni hoja hizi

Wastaafu wamebaki kuzungushwa, kuna mtumishi amestaafu toka Disemba mwaka jana, mwajiri wake hata nauli ya kurudi kwao upareni hajalimpa, majuzi amefuatilia mafao/ pensheni psssf anaambiwa faili lake lilisahaulika kwa hiyo halijashughulikia hivyo arudi baada ya wiki mbili. Cha kushangaza eti anaipenda CCM, anadai wapinzani wanatumiwa na mabeberu.
Nikamuuliza mabeberu ya rangi gani hakunijibu.
 
Ila Magufuli na serikali yake mmewadhulumu watumishi wasio na hatia. Mtu afanye kazi miaka kadhaa na baada ya hapo apoteze ajira na huku ana michango yake NSSF anateseka na njaa na watoto Wake, halafu unamwambia eti asubiri atimize miaka 55.!?
Huu ni unyama, ni uporaji na unyonyaji.
Viongozi hawaoni hili kwa kua wanalishwa na kuhudumiwa na kodi za wavuja jasho lakini huu ni ukatili mkubwa sana kwa watumishi walipoteza ajira zao ili hali akiba zao waliojiwekea zibazuiluwa NSSF kuwanufaisha wakubwa.
 
Na: Mh Tundu Lissu

Pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii hazitajenga kiwanda chochote. Ni siasa tu. Pesa za mifuko ya hifadhi ya umma sio pesa za serikali, ni pesa za wafanyakazi. Zinatokana na makato yao ya mishahara. Serikali imekuwa inatumia pesa hizi kama zake, wakati sio zake.

Pesa hizo zimetumika kujenga UDOM kwa makubaliano kwamba serikali hii ingerudisha pesa hizo kwa mifuko hiyo. Haijarudisha hata senti moja. Pesa hizo zimejenga jengo la Usalama wa Taifa OysterBay Dar. Serikali haijarudisha hata senti moja kwa mifuko ilikochota pesa hizo. Pesa za mifuko zimejenga jengo la Machinga Complex Ilala Dar na nyumba za polisi Kurasini Dar. Serikali haijarudisha hata senti moja.

Ndizo zilizojenga Daraja la Mwalimu Nyerere Kigamboni. You can rest assured haitarudi hata senti moja. Ukweli, kama alivyosema CAG kwenye mojawapo ya taarifa zake za mwaka, mifuko ya hifadhi ya jamii ina hali mbaya ya kifedha. Hii ndio sababu wenye mamlaka wanataka kuondoa fao la kujitoa. Wameigeuza mifuko ya hifadhi ya jamii kuwa shamba la bibi mpaka mifuko inakaribia kufilisika

Sasa wanataka kuficha uchafu huu kwa blangeti la uzalendo uchwara. Wafanyakazi wa Tanzania wakikubali udanganyifu huu wataliwa kama ambavyo pesa zao zimeliwa kwenye miradi niliyoitaja. Suala sio tuache siasa. Hatuwezi kuacha siasa. Suala ni tuache siasa za aina gani. Hawa wanasiasa wanaojivika uzalendo uchwara kuhusu hela za wafanyakazi wao wenyewe wametengenezewa utaratibu maalum ambapo wanakatwa na NSSF halafu baada ya kumaliza ubunge wanarudishiwa pesa zao.

Hawasubiri wafikishe miaka sitini ndipo wapate mafao yao ya kujitoa. Halafu wanawahubiria wafanyakazi wasubiri miaka sitini ndipo wapate mafao yao. Wana ndimi mbili kama za nyoka. Wafanyakazi wa Tanzania amkeni, hamna chochote cha kupoteza isipokuwa minyororo yenu.
Kesho tutafokewa na mgombea wao maana hana cha kujibu sanasana atabaki anafoka

Binafsi mbali na saba u nyine nyingi, ila hii ni sababu ya mimi kumpa kura Lissu. Fao la kujitoa
 
Wastaafu wamebaki kuzungushwa, kuna mtumishi amestaafu toka Disemba mwaka jana, mwajiri wake hata nauli ya kurudi kwao upareni hajalimpa, majuzi amefuatilia mafao/ pensheni psssf anaambiwa faili lake lilisahaulika kwa hiyo halijashughulikia hivyo arudi baada ya wiki mbili. Cha kushangaza eti anaipenda CCM, anadai wapinzani wanatumiwa na mabeberu.
Nikamuuliza mabeberu ya rangi gani hakunijibu.
Hawezi kukujibu kitu kwasababu ubongo unachukuliwa unapoingia ccm. Ila kuna kitu hamuwezi kuamini lakini ccm ni washirikina sana. Hizo skafu, kofia na t-shirt, kila kitu chao wanakinenea. Ukivaa tu umemezwa, akili inafutika.
 
UJINGA NI KUFIKIKIRI KILA ANACHIKISEMA TUNDU LISSU NI KWELI NA UJINGA ZAIDI KUFIKILI MAGU ANAWEZA JIBU TETESI WAKATI WA KAMPENI NJOONI NA VIELELEZO VYA SHUTUMA TUTAMTUMA POLE POLE SIZE YA LISU AJIBU
Wewe ni mzururaji tu usiye na ajira yoyote nchi hii, unaishi kwa ujira wa kujikomba.

Wanaokatwa mishahara yao kila mwezi ndio wanajuwa uchungu wa hili wakiwemo wanaccm.
 
Tatizo la wafanykazi wa Tanzania ni midabwada, watu hopeless and stupid ! Kuna wale ambao wana ka upenyo ka kupata bakishishi/marupurupu kazini, haya ya mifuko hayawahusu, "wanafidia" huku wanakochota. Kundi la walimu (siyo wote tafadhali, ila wengi wao wako hivyo) ni kundi la academic failures ambao walipata Div 4 na hivyo kujiona "afadhali" wanapata hata hicho kidogo! WAMEGAWANYIKA katika makundi ya imani/itifaki mbali mbali. Mapolisi/wanajeshi ni academic failures, wao wanaona kama wamekuwa favoured na hiyo wanashukuru hata kidogo hicho wanachokipata, wanapata virushwa rushwa, wanaona ahueni. Kuwaunganisha siyo kazi rahisi! Wanahitaji mental liberation!
You nailed it

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
UJINGA NI KUFIKIKIRI KILA ANACHIKISEMA TUNDU LISSU NI KWELI NA UJINGA ZAIDI KUFIKILI MAGU ANAWEZA JIBU TETESI WAKATI WA KAMPENI NJOONI NA VIELELEZO VYA SHUTUMA TUTAMTUMA POLE POLE SIZE YA LISU AJIBU
Acha kutufokea. Acha jazba. Fao la kujitoa lipo? Unajua April 10, 2018 ilikuwa ndio mwisho wa watu kufikiriwa kupewa fedha NSSF? Manyonya damu wakubwa nyie. Watu wamekufa wanafatilia mafao yao ambayo yangewasaidia wapate matibabu au kutatua matatizo yao mengine. Mtalaaniwe mufe vifo vibaya ku.mamayo zenu.
 
Huyo sio mtanzania tena ana damu za ukorofi na ukabila na za mabeberu.Damu ya kinyaturu hana kwahyotumsamehe na kichwani bado dawa zimejaa bado hajapona jamani.
 
Sasa shughuri ndokwaanza imeanza tunasubiri tuambiwe ripoti za CAG za miaka yote Mitano,tunataka tuambiwe matumizi ya Serikali yasasa yamepungua ama la ! Maana tulikuwa gizani kipindi chote Cha miaka5,tunataka kujua kwanini Deni linekuwa kwa Kasi nahuku tukiwa namakusanyo Bora kuliko awamu zote,pia tunataka tufahamu utekelezaji wa ilani yao ni kwakiasi gani wametekeleza? ili tupate kuona Kama tunaweza waamini tena TL tunaamini utatueleza yote huwenda wenye wajibu wakusema wasiseme,,
Huyu jama hela anapeleka wapi?ndio rais aliekopa kuliko marais wote ana madeni haikawahi kutokea
 
Huyo sio mtanzania tena ana damu za ukorofi na ukabila na za mabeberu.Damu ya kinyaturu hana kwahyotumsamehe na kichwani bado dawa zimejaa bado hajapona jamani.
 
90 Reactions
Reply
Back
Top Bottom