William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Baada ya kutua nchini umeongea vitu vingi Sana. Lakini vya habari vimekosa chochote Cha kusimulia kwenye alichoutubia zaidi ya kuripoti umekuja tu.
Mandela baada ya Mateso yote jela, baridi, fimbo na minyororo alipotoka tu aliendelea kuhubiri Amani, umoja na kuaminiana Kati ya watesi wake Wazungu. Umoja na msamaha utakujenga Sana bro acha utoto kabisa. Nazani angeanza kutaja majina ya waliouliwa na makaburu asingemaliza vya kuongea. Kama angesimulia Mateso ya jela sijui angesema vitu gani.
Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.
Sijapenda kabisa ulichokisema leo. NI chuki,Ujinga na Nini sijui.
Tundu Kama ukizunguka kuhubiri tu siasa za chuki, uchonganishi na uzandiki na kusaahau kuangalia msoto walinao wakulima na wafanyakazi na kufanya tafiti na kuja na Majibu ya kero zao.
Tundu Kama utahubiri muda wote vidonda na makovu yasitibika tu habari za saa nane na gwanda tu na ukaacha habari za korosho, mpunga, pamba ,buni Basi unacho Cha kujibu juu ya Mungu. Utakuwa mbinafsi na unataka uraisi kwaajili ya kulipiza kisasi. Huna la kutufanyia kwenye uchumi wetu, huna la kuwafanyia wakulima wetu. Huna la kuwafanyia wafanyakazi wetu. NI visasi tu. Hutajenga utavuruga nchi na kutuacha kwenye chuki Kati ya CCM na upinzani.
Utakuwa unatofautiana Nini na watesi wako. Mandela alisema ukitaka kuwa kiongozi Cha kwanza Zuia chuki na hasira. Chuki na hasira huzuia uwezo wa kufikiria.
Najua uliteseka, najua unamaumivu Ila hutakiwi kutugawa Tena. Acha kauli za masisiemu. Ubiri upendo, msamaha na uoneshe ukomavu.
Watanzania wanamengi ya kusemewa. Usiwe mbinafsi kabisa. Utapata kura za kutosha ukisimama na hoja za kutujenga na so kutugawa.
Hivi jeshi litakuamini vipi kwa mitazamo hii. Usalama watakuamini vipi. Weka njia ya msamaha na malidhiano acha utoto kabisa. Ndio maono haya uliyokuja nayo.
Mazao ya Pamba,. Alizeti, tumbaku na kahawa za korosho, Yana hoja nyingi sana. Fanya utafiti mje na suluhu. Watumishi Wana yao mengi.
Jenga Sera.
Usikubali kuharibu. Ongelea shida za majolity. Usiue malengo yako na taifa kwa hasira na chuki Kama Patrice Lumuba.
Patrice Lumumba baada ya CONGO DRC kupewa Uhuru alipewa nafasi ya kutoa hotuba. Hotuba yake ilikuwa yakijinga Sana Kama yako ya Jana. Aliwatusi watesi wake,Hakuhubiri msamaha ata kidogo. Alishindwa kutambua hata kidogo mbeligiji alichokiacha Kongo. Akataka kufanya visasi na chuki.kilichotokea baada ya hotuba yake NI machafuko na vurugu. Hotuba yake Kama ilivyo ya lissu ya Jana ilishangiliwa na wananchi wengi kwasababu ya umbumbu wao. Kwa hotuba ya Jana inahitaji kushinda kwa asilimia zaidi ya 80 labda ndio upewe nchi. Nani amkabidhi Rungu adui. Hotuba ya Patrice Lumumba ilikuwa ndio kifo chake, hotuba ya Patrice Lumumba iliicha Kongo kwenye Vita na machafuko Hadi leo. Hotuba ya Lumumba ndio sababu ya wazungu kutuona hatuwezi kujitawala.
Zuia chuki na visasi. Hubiri upendo na umoja. Nazani Mungu na akubarik I.
Mandela baada ya Mateso yote jela, baridi, fimbo na minyororo alipotoka tu aliendelea kuhubiri Amani, umoja na kuaminiana Kati ya watesi wake Wazungu. Umoja na msamaha utakujenga Sana bro acha utoto kabisa. Nazani angeanza kutaja majina ya waliouliwa na makaburu asingemaliza vya kuongea. Kama angesimulia Mateso ya jela sijui angesema vitu gani.
Katikati ya ubaguzi, Mateso na shida kwa jamii ya weusi martini alihubiri upendo, umoja na msamaha. Kudai haki bila kuhubiri chuki zidi ya watesi wake ndio njia pekee ya Mungu kumuinua mja wake. Ukifeli hapo Mungu ashindwi kukuacha upotee kabisa.
Sijapenda kabisa ulichokisema leo. NI chuki,Ujinga na Nini sijui.
Tundu Kama ukizunguka kuhubiri tu siasa za chuki, uchonganishi na uzandiki na kusaahau kuangalia msoto walinao wakulima na wafanyakazi na kufanya tafiti na kuja na Majibu ya kero zao.
Tundu Kama utahubiri muda wote vidonda na makovu yasitibika tu habari za saa nane na gwanda tu na ukaacha habari za korosho, mpunga, pamba ,buni Basi unacho Cha kujibu juu ya Mungu. Utakuwa mbinafsi na unataka uraisi kwaajili ya kulipiza kisasi. Huna la kutufanyia kwenye uchumi wetu, huna la kuwafanyia wakulima wetu. Huna la kuwafanyia wafanyakazi wetu. NI visasi tu. Hutajenga utavuruga nchi na kutuacha kwenye chuki Kati ya CCM na upinzani.
Utakuwa unatofautiana Nini na watesi wako. Mandela alisema ukitaka kuwa kiongozi Cha kwanza Zuia chuki na hasira. Chuki na hasira huzuia uwezo wa kufikiria.
Najua uliteseka, najua unamaumivu Ila hutakiwi kutugawa Tena. Acha kauli za masisiemu. Ubiri upendo, msamaha na uoneshe ukomavu.
Watanzania wanamengi ya kusemewa. Usiwe mbinafsi kabisa. Utapata kura za kutosha ukisimama na hoja za kutujenga na so kutugawa.
Hivi jeshi litakuamini vipi kwa mitazamo hii. Usalama watakuamini vipi. Weka njia ya msamaha na malidhiano acha utoto kabisa. Ndio maono haya uliyokuja nayo.
Mazao ya Pamba,. Alizeti, tumbaku na kahawa za korosho, Yana hoja nyingi sana. Fanya utafiti mje na suluhu. Watumishi Wana yao mengi.
Jenga Sera.
Usikubali kuharibu. Ongelea shida za majolity. Usiue malengo yako na taifa kwa hasira na chuki Kama Patrice Lumuba.
Patrice Lumumba baada ya CONGO DRC kupewa Uhuru alipewa nafasi ya kutoa hotuba. Hotuba yake ilikuwa yakijinga Sana Kama yako ya Jana. Aliwatusi watesi wake,Hakuhubiri msamaha ata kidogo. Alishindwa kutambua hata kidogo mbeligiji alichokiacha Kongo. Akataka kufanya visasi na chuki.kilichotokea baada ya hotuba yake NI machafuko na vurugu. Hotuba yake Kama ilivyo ya lissu ya Jana ilishangiliwa na wananchi wengi kwasababu ya umbumbu wao. Kwa hotuba ya Jana inahitaji kushinda kwa asilimia zaidi ya 80 labda ndio upewe nchi. Nani amkabidhi Rungu adui. Hotuba ya Patrice Lumumba ilikuwa ndio kifo chake, hotuba ya Patrice Lumumba iliicha Kongo kwenye Vita na machafuko Hadi leo. Hotuba ya Lumumba ndio sababu ya wazungu kutuona hatuwezi kujitawala.
Zuia chuki na visasi. Hubiri upendo na umoja. Nazani Mungu na akubarik I.