Uchaguzi 2020 Tundu Lissu abadili upepo, aanza kumsifu Rais Magufuli

Sasa unafikiri ni kosa la serikali au kosa la wazazi wetu ndo wanatuimiza tusome tuwe na kazi nzuri na sio kujiajiri na kuajiri wengine nenda usome kitabu cha RICH DADDY POOR DADDY tukomboe vizazi vyetu mkuu
Mfumo wa elimu unaotolewa ccm ndo mbovu,unatengeneza watu tegemezi na wasioweza kufikiria vizuri
 
Mkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.

Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.

Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
Ukumbuke Nyerere alitawala miaka 25 akafanya hayo mengi mazuri; Magu ndio kwanza anamiaka 5 hivyo kama unampenda mpe muda......
 
Mkuu mimi ninamkubali na kumtetea Magufuli like no other, lakini inapofikia ukweli lazima usemwe.
Magufuli hajafikia hata nusu ya mambo aliyofanya Nyerere, tuache ushabiki wa ajabu ajabu.

Nyerere alijenga vyuo mbali mbali, shule nyingi, barabara kiasi chake, alijenga viwanda vingi sana vilivyo kuwa vinamilikiwa na serikali, alinunua ndege, aliwekeza kwenye mambo mengine mengi.

Magufuli ni kiongozi ninaye mkubali sana lakini bado hajafikia viwango vya Nyerere kila nyanja iwe kiuchumi au kijamii.
Hawezi kuwa sawa kwa jumla ya mambo waliyofanya Nyerere alikua rais wa Tanzania kwa zaidi ya miaka30 wakati Magufuli amekua rais karibia kufika miaka 5 tuu sasa.
Tukiwalinganisha kwenye mambo walivyofanya, kwa uthubutu wa kufanya vitu vikubwa na vinavyolenga maslahi ya umma hapo tunaweza kusema neno
 
Hawezi kuwa sawa kwa jumla ya mambo waliyofanya Nyerere alikua rais wa Tanzania kwa zaidi ya miaka30 wakati Magufuli amekua rais karibia kufika miaka 5 tuu sasa.
Tukiwalinganisha kwenye mambo walivyofanya, kwa uthubutu wa kufanya vitu vikubwa na vinavyolenga maslahi ya umma hapo tunaweza kusema neno
Mkuu kuna hoja kama yako nimejibu kwamba ukichukua yote aliyofanya Nyerere ugawanye kwa tano utapata wastani kwa kila miaka mitano alifanya nini.
Nyerere alifanya mengi makubwa na madogo, sidhani kama waliomfuatia kuna anayemfikia angalau nusu.
Huyu Magufuli kafanya mengi makubwa lakini aliyofanya na kuyamaliza siyo yote mengi bado, hiyo SGR bado hata 50% ya mradi wote, Stieglers ndiyo kwanza imeanza hata 40% bado.

Kumbukeni pia Nyerere hakukuta wahandisi kama wa TBA na Suma JKT au kampuni binafsi za wazawa kama sasa, hakukuta miundombinu kama liyo ikuta Magufuli, hakukuta madaktari na wauguzi kama alivyowakuta Magufuli hadi hao wataalamu wanakosa ajira wapo wengi sana, nyerere hakukuta Flight engineers wala marubani wazalendo.
Hakukuta wasomi wa kuweza kuendesha taasisi za umma kama kiwango cha PHD kama wakati huu wa Magufuli.
Hakukuta barabara mikoa mingi ilikuwa shida kupeleka huduma na vifaa vay ujenzi wa miradi mikubwa.
Nyerere hakukuta vyuo vikuu wala vyuo vya kati vingi.
 
Ukumbuke Nyerere alitawala miaka 25 akafanya hayo mengi mazuri; Magu ndio kwanza anamiaka 5 hivyo kama unampenda mpe muda......
Soma hapo chini
Mkuu kuna hoja kama yako nimejibu kwamba ukichukua yote aliyofanya Nyerere ugawanye kwa tano utapata wastani kwa kila miaka mitano alifanya nini.
Nyerere alifanya mengi makubwa na madogo, sidhani kama waliomfuatia kuna anayemfikia angalau nusu.
Huyu Magufuli kafanya mengi makubwa lakini aliyofanya na kuyamaliza siyo yote mengi bado, hiyo SGR bado hata 50% ya mradi wote, Stieglers ndiyo kwanza imeanza hata 40% bado.

Kumbukeni pia Nyerere hakukuta wahandisi kama wa TBA na Suma JKT au kampuni binafsi za wazawa kama sasa, hakukuta miundombinu kama liyo ikuta Magufuli, hakukuta madaktari na wauguzi kama alivyowakuta Magufuli hadi hao wataalamu wanakosa ajira wapo wengi sana, nyerere hakukuta Flight engineers wala marubani wazalendo.
Hakukuta wasomi wa kuweza kuendesha taasisi za umma kama kiwango cha PHD kama wakati huu wa Magufuli.
Hakukuta barabara mikoa mingi ilikuwa shida kupeleka huduma na vifaa vay ujenzi wa miradi mikubwa.
Nyerere hakukuta vyuo vikuu wala vyuo vya kati vingi.
 
Kwa miaka 23 hila magu hata robo bado
Tumpe mingine mitano ili tu rationalizs the denominator
Soma hapo chini
Mkuu kuna hoja kama yako nimejibu kwamba ukichukua yote aliyofanya Nyerere ugawanye kwa tano utapata wastani kwa kila miaka mitano alifanya nini.
Nyerere alifanya mengi makubwa na madogo, sidhani kama waliomfuatia kuna anayemfikia angalau nusu.
Huyu Magufuli kafanya mengi makubwa lakini aliyofanya na kuyamaliza siyo yote mengi bado, hiyo SGR bado hata 50% ya mradi wote, Stieglers ndiyo kwanza imeanza hata 40% bado.

Kumbukeni pia Nyerere hakukuta wahandisi kama wa TBA na Suma JKT au kampuni binafsi za wazawa kama sasa, hakukuta miundombinu kama liyo ikuta Magufuli, hakukuta madaktari na wauguzi kama alivyowakuta Magufuli hadi hao wataalamu wanakosa ajira wapo wengi sana, nyerere hakukuta Flight engineers wala marubani wazalendo.
Hakukuta wasomi wa kuweza kuendesha taasisi za umma kama kiwango cha PHD kama wakati huu wa Magufuli.
Hakukuta barabara mikoa mingi ilikuwa shida kupeleka huduma na vifaa vay ujenzi wa miradi mikubwa.
Nyerere hakukuta vyuo vikuu wala vyuo vya kati vingi.
 
Linganisha miaka aliyotawala nyerere na kisha uwaze unalinganishaje na hii 5 ya magufuli kisha urudi na maoni mapya....japo hatuwashindanishi...kila.mmoja kwa.zama.zake
Soma hapo chini
Mkuu kuna hoja kama yako nimejibu kwamba ukichukua yote aliyofanya Nyerere ugawanye kwa tano utapata wastani kwa kila miaka mitano alifanya nini.
Nyerere alifanya mengi makubwa na madogo, sidhani kama waliomfuatia kuna anayemfikia angalau nusu.
Huyu Magufuli kafanya mengi makubwa lakini aliyofanya na kuyamaliza siyo yote mengi bado, hiyo SGR bado hata 50% ya mradi wote, Stieglers ndiyo kwanza imeanza hata 40% bado.

Kumbukeni pia Nyerere hakukuta wahandisi kama wa TBA na Suma JKT au kampuni binafsi za wazawa kama sasa, hakukuta miundombinu kama liyo ikuta Magufuli, hakukuta madaktari na wauguzi kama alivyowakuta Magufuli hadi hao wataalamu wanakosa ajira wapo wengi sana, nyerere hakukuta Flight engineers wala marubani wazalendo.
Hakukuta wasomi wa kuweza kuendesha taasisi za umma kama kiwango cha PHD kama wakati huu wa Magufuli.
Hakukuta barabara mikoa mingi ilikuwa shida kupeleka huduma na vifaa vay ujenzi wa miradi mikubwa.
Nyerere hakukuta vyuo vikuu wala vyuo vya kati vingi.
 
Nyerere alikabidhiwa Ikulu 1962 alikuta hazina ya taifa ina pound 75m hadi kufikia 1967 alikuwa kafanya nini? Maafisa wa Ikulu aliowakuta Nyerere kina Kasela Bantu na Edwin Mtei waliamua kutimka zao baada ya kuona mambo hayaendi sawa. Ni Amil Jamal raia wa Canada mwenye asili ya India ndio aliyekuja kuokoa jahazi, viwanda mnavyo visifia ni juhudi binafsi za Amil Jamal. Halafu leo mpuuzi mmoja anakuja kumbeza JPM.
Wewe hii historia ya haya usemayo umeitoa wapi? Kitabu gani au imeandikwa wapi?
Unaokoteza hadithi za vijiweni na kutuletea hapa?
 
Lisu katika harakati za kusaka wadhamini akiwa mjini Tanga na Muheza amesifia kazi za awamu ya tano kuwa wanajenga reli mpya bwawa kubwa la umeme na miradi mingi mikubwa. Kafananisha kazi hizo na zile zilizofanywa na watawala wa kizungu na mwalimu nyerere, akasema wajerumani walijenga reli ya Tanga arusha na Dar Kigoma, huku waingereza wakiunganisha Tanga Dar na Tabora Mwanza.

Kasema amekaa ulaya miaka mitatu nao wana miundo mbinu kama ya kwetu na bado wanajenga mingine, hili ni jambo jema sana. Ila nimkumbushe wazungu walitawala miaka 75 na nyerere miaka 25 jumla yao ni miaka 100, JPM atafanya hayo ndani ya miaka kumi tu hongera JPM.

Kasema wajerumani walijenga shule moja tu ya Tanga school, yaani kwa miaka 35 waliyokaa hii nchi walijenga shule moja tu, leo hii tuna shule zaidi ya elfu 20 nchi nzima tena zenye walimu madawati na vitabu watoto hawabebi makwanja wala kuchangishwa fedha ya lebo na madawati.

Kasema nayeye akichaguliwa ataendeleza pale JPM atakuwa kafikia basi kama ni kweli ni jambo jema kabisa, ila basi atuonyeshe angalau ajenge ofisi ya makamu mwenyekiti CHADMA pale Dodoma tuamini hayo anayotuambia, alivyokuwa arusha kakuta ofisi ya chama imechomwa moto achilia kutohamasisha ukarabati wa ofisi hata kutoa mia ya pole hamna, hajazungumzia chochote afya ya mlinzi wala hajaenda kumpa pole. Nasikia ile nyumba niyakupanga sasa chama kitaikarabati au mwenye nyumba shauri yake?

Hapo sasa sawa. Siyo kuponda kazi njema zilizodhahiri na ambazo tunategemea zitumike kama msingi wa maendeleo yajayo. Kazi ambazo ni msingi mkuu wa ustawi wa taifa. Hapo sasa sawa kabisha.

Lakini habari ya kumwambia ajenge ofisi ya CHADEMA hiyo ni fitina na upevu mdogo wa mwandishi. Mtu mwenye ufahamu na nia isiyo hila, hawezi kumwambia Lisu Ajenge ofisi ya CHAMA wakati hata CCM zaidi ya miaka 30 haikuwahi kujenga ofisi.

Ahsante Mwalimu.
 
Mkuu mimi nakubaliana kabisa kuwa maendeleo ni "Multiplier effect" yaani hayana mwisho japan wanaendelea marekani wanaendelea na sisi tunaendelea, tofauti iliyopo kwa JPM ni "speed and efficiency" yake.
Mzazi anakuhudumia mahitaji yako yote kuanzia udogoni, tena mara nyingi kwa kutumia mamilioni au hata mamia ya mamilioni ya pesa kama ana uwezo, lakini hakupi heshima kama mtu ambae ameshakuwa sasa, unapelekeshwa pelekeshwa hadi unakosa self-confidence...wewe kama wewe hutatafuta huru wako bila kusahau na kushukuru mema walichokufanyia??
 
Back
Top Bottom