OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 54,489
- 123,113
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
View attachment 3259498
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
Yeye amealikwa na wachekeshaji inatosha. Ataongea nini kiongozi asiyeweza kusoma detailsKwa Nini hajaalikwa Rais SSH ili akahutubie mhadhara huo???
Ataenda kuongea nini maskini ya Mungu. Yeye zake, harusi, maulidi, comedy.Mama,mama,mama ataalikwa lini kwenye issues kama hizi?
IronicView attachment 3259498
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
Safi sana mpigania haki wetu, Tundu Lissu.View attachment 3259498
Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.
Tega sikio
No Reform No electionWakina Lucas mmekua wengi jf.
Hakuna Rais Africa anayependa demokrasia, ila kwa nafasi ya Tundu hawezi kuacha kuwajibika kokote demokrasia inapohubiriwaIronic
Museven loves democracy
Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM mbona kitambo tu ingekuwa imeshasahaulika.Angekuwa anaungwa mkono kama hivi pindi aitishapo maandamano muda huu ccm ingekuwa haipo!
Hapa nazungumzia maandamano!Uchaguzi ukiwa huru na haki CCM mbona kitambo tu ingekuwa imeshasahaulika.
Enzi zile upinzani ulikua strongUchaguzi ukiwa huru na haki CCM mbona kitambo tu ingekuwa imeshasahaulika.
Na mimi nazungumzia uhalali wa CCM kuwa madarakaniHapa nazungumzia maandamano!
Hata sasa ndiyo maana CCM hawataki uchaguzi huru na wa haki.Enzi zile upinzani ulikua strong
Pumzika ni katika wale waoga!Na mimi nazungumzia uhalali wa CCM kuwa madarakani
What a combination, sokwe na gulugujaMakalla na Wasira wangealikwa huko!