Tundu Lissu aalikwa katika mhadhara wa Chuo Kikuu cha Makerere

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
54,489
123,113
1741151894011.png


Mh. Tundu Lissu amealikwa Chuo Kikuu cha Makerere kutoa mhadhara wa umma juu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na ushawishi wake katika siasa na katiba za Afrika Mashariki.

Tega sikio
 
Back
Top Bottom