Tundu Lissu aachwe akichoka atatulia

sheiza

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
7,564
11,478
Huyu mtu anajiona kama Tanzania one na hakuna yoyote kama yeye.
Anapita duniani akiwaaminisha watu Tanzania si nchi salama, lakini hadi sasa hatujaona hata balozi au nchi ikiwaambia raia wake waondoke Tanzania au wasije Tanzania..zaidi tunaona wanamiminika.

Miaka kadhaa iliyopita Tanzania ilitishiwa sana na hali ya kiusalama..nakumbuka kwa dar kila ijumaa kulikuwa na maandamano..huko Arusha kulikuwa hakukaliki na mauaji makubwa yalitokea..

Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu.

Leo tunashuhudia Tanzania yenye utulivu, watu wanafanya biashara kila kona bila hofu ya maandamano, polisi wala mgambo.

Ndoto za Tanzania mpya zinatamalaki kila siku..miundo mbinu ya kisasa( flyovers, interchanges, 8 ways)..barabara za highways zinatanuliwa kupishana magari matatu hali itayozuia ajali..ukija upande wa anga viwanja vya ndege vyote ujenzi unaendelea, ndege za kisasa zimenunuliwa, bandari zinatanuliwa, vivuko vya kumwaga, reli ya kisasa na treni za kisasa, masoko ya bidhaa na vyakula yanaendelea kuimarishwa na hivi juzi tumesaini mkataba na shirika la kimataifa.

Hao ambao Lissu anapita kuwaaminisha Tanzania si salama ambao ni watanzania wana ndugu zao huku na wengine waliacha tanzania ikiwa ya hovyo tofauti na sasa..ilikuwa hata aibu kuja na rafiki zao hasa wakifikiria foleni ya tazara, mtiririko wa maji taka, ukosefu wa maji na tatizo kubwa la umeme.

Leo wanaona na kusikia Tanzania ya Magufuli..wanajua..wanamsikiliza lissu kumfariji tu baada ya kutoka wodini.baada ya muda watachoka kumsikiliza maana hatakuwa na jipya tena..kawaida santuri ikiwa mpya watu watataka waisikilize kila mara ila baada ya muda wanaichoka na kuitupa kapuni sababu nyimbo ni zile zile.

Lissu akitaka ajiwekee tena mazingira ya kupigwa risasi ili apigwe akaanzishe nyimbo mpya..ni dhahiri sasa wameshamchoka ndio maana imefikia hatua anaomba hela ya chakula na ada..baada ya muda hata hao anaowaona na kuwaomba hatawaona tena maana nao watakuwa bize na maisha yao maana kushughulika na hadithi anazopiga Tundulissu wanajua haziwapi mkate wala ada..wala hazibadilishi kitu kwa wazee wao waliopo vijijini..bora wamsikilize Magu anayewaondolea aibu ya Tanzania kwa wageni..

Maana yaliyofanyika kwa Lissu yapo dunia nzima..sio mageni..hayajaanza leo wala jana..nothing new..hata John F Kennedy alitendewa zaidi ya Lissu akiwa kwenye madaraka makubwa ya nchi katika nchi inayoaminika zaidi kwa usalama duniani.

Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Damu ya mtu ni nzito sana usije ukajaribu kuimwaga kwa namna yoyote ile!

Hata hao wanaomjibu wanatamani wangenyamaza kimya ila roho hazitulii kwa unyama waliomfanyia Lissu!

Na Mungu alivyo waajabu chama kizima kinajaribu kumjibu mtu mmoja ila hakuna hata mmoja anayeonyesha kutoa majibu ya kuridhisha na kuondoa utata!
 
Huyu mtu anajiona kama Tanzania one na hakuna yoyote kama yeye.
Anapita duniani akiwaaminisha watu Tanzania si nchi salama, lakini hadi sasa hatujaona hata balozi au nchi ikiwaambia raia wake waondoke Tanzania au wasije Tanzania..zaidi tunaona wanamiminika.

Miaka kadhaa iliyopita Tanzania ilitishiwa sana na hali ya kiusalama..nakumbuka kwa dar kila ijumaa kulikuwa na maandamano..huko Arusha kulikuwa hakukaliki na mauaji makubwa yalitokea..

Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu.

Leo tunashuhudia Tanzania yenye utulivu, watu wanafanya biashara kila kona bila hofu ya maandamano, polisi wala mgambo.

Ndoto za Tanzania mpya zinatamalaki kila siku..miundo mbinu ya kisasa( flyovers, interchanges, 8 ways)..barabara za highways zinatanuliwa kupishana magari matatu hali itayozuia ajali..ukija upande wa anga viwanja vya ndege vyote ujenzi unaendelea, ndege za kisasa zimenunuliwa, bandari zinatanuliwa, vivuko vya kumwaga, reli ya kisasa na treni za kisasa, masoko ya bidhaa na vyakula yanaendelea kuimarishwa na hivi juzi tumesaini mkataba na shirika la kimataifa.

Hao ambao Lissu anapita kuwaaminisha Tanzania si salama ambao ni watanzania wana ndugu zao huku na wengine waliacha tanzania ikiwa ya hovyo tofauti na sasa..ilikuwa hata aibu kuja na rafiki zao hasa wakifikiria foleni ya tazara, mtiririko wa maji taka, ukosefu wa maji na tatizo kubwa la umeme.

Leo wanaona na kusikia Tanzania ya Magufuli..wanajua..wanamsikiliza lissu kumfariji tu baada ya kutoka wodini.baada ya muda watachoka kumsikiliza maana hatakuwa na jipya tena..kawaida santuri ikiwa mpya watu watataka waisikilize kila mara ila baada ya muda wanaichoka na kuitupa kapuni sababu nyimbo ni zile zile.

Lissu akitaka ajiwekee tena mazingira ya kupigwa risasi ili apigwe akaanzishe nyimbo mpya..ni dhahiri sasa wameshamchoka ndio maana imefikia hatua anaomba hela ya chakula na ada..baada ya muda hata hao anaowaona na kuwaomba hatawaona tena maana nao watakuwa bize na maisha yao maana kushughulika na hadithi anazopiga Tundulissu wanajua haziwapi mkate wala ada..wala hazibadilishi kitu kwa wazee wao waliopo vijijini..bora wamsikilize Magu anayewaondolea aibu ya Tanzania kwa wageni..

Maana yaliyofanyika kwa Lissu yapo dunia nzima..sio mageni..hayajaanza leo wala jana..nothing new..hata John F Kennedy alitendewa zaidi ya Lissu akiwa kwenye madaraka makubwa ya nchi katika nchi inayoaminika zaidi kwa usalama duniani.

Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira , hata ungekuwa wewe umepatwa na maswahibu ya TL ungefanya hivyo mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu watanzania muwe na huruma siasa ni hapa hapa duniani Mbinguni ni Matendo mema ya duniani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza hasira , hata ungekuwa wewe umepatwa na maswahibu ya TL ungefanya hivyo mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu watanzania muwe na huruma siasa ni hapa hapa duniani Mbinguni ni Matendo mema ya duniani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ndio apunguze hasira..asichojua ni kuwa yeye binafsi alishaumiza maisha ya watu wengi na familia zao kisaikolojia..kina Rostam Azizi na kina Lowasa ni wahanga wa siasa na mdomo wa Tundulissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walitaka baada ya yote hayo akae kimya sasa wamechemka sio kwa lissu...na wao wanalijua hili na ndio maana waliopt kifo kwa namma yoyote ile..
 
Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.
Uko sawa mkuu, wekeni hayo matako yenu na vichwa vyenu chini na mumuache azungumze pekee na mwisho "atachoka".
 
"Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu."





Naomba unielezee hapo kwenye hayo maneno juu
Muuaji wa wandamanaji arusha alikua ni nani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu anajiona kama Tanzania one na hakuna yoyote kama yeye.
Anapita duniani akiwaaminisha watu Tanzania si nchi salama, lakini hadi sasa hatujaona hata balozi au nchi ikiwaambia raia wake waondoke Tanzania au wasije Tanzania..zaidi tunaona wanamiminika.

Miaka kadhaa iliyopita Tanzania ilitishiwa sana na hali ya kiusalama..nakumbuka kwa dar kila ijumaa kulikuwa na maandamano..huko Arusha kulikuwa hakukaliki na mauaji makubwa yalitokea..

Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu.

Leo tunashuhudia Tanzania yenye utulivu, watu wanafanya biashara kila kona bila hofu ya maandamano, polisi wala mgambo.

Ndoto za Tanzania mpya zinatamalaki kila siku..miundo mbinu ya kisasa( flyovers, interchanges, 8 ways)..barabara za highways zinatanuliwa kupishana magari matatu hali itayozuia ajali..ukija upande wa anga viwanja vya ndege vyote ujenzi unaendelea, ndege za kisasa zimenunuliwa, bandari zinatanuliwa, vivuko vya kumwaga, reli ya kisasa na treni za kisasa, masoko ya bidhaa na vyakula yanaendelea kuimarishwa na hivi juzi tumesaini mkataba na shirika la kimataifa.

Hao ambao Lissu anapita kuwaaminisha Tanzania si salama ambao ni watanzania wana ndugu zao huku na wengine waliacha tanzania ikiwa ya hovyo tofauti na sasa..ilikuwa hata aibu kuja na rafiki zao hasa wakifikiria foleni ya tazara, mtiririko wa maji taka, ukosefu wa maji na tatizo kubwa la umeme.

Leo wanaona na kusikia Tanzania ya Magufuli..wanajua..wanamsikiliza lissu kumfariji tu baada ya kutoka wodini.baada ya muda watachoka kumsikiliza maana hatakuwa na jipya tena..kawaida santuri ikiwa mpya watu watataka waisikilize kila mara ila baada ya muda wanaichoka na kuitupa kapuni sababu nyimbo ni zile zile.

Lissu akitaka ajiwekee tena mazingira ya kupigwa risasi ili apigwe akaanzishe nyimbo mpya..ni dhahiri sasa wameshamchoka ndio maana imefikia hatua anaomba hela ya chakula na ada..baada ya muda hata hao anaowaona na kuwaomba hatawaona tena maana nao watakuwa bize na maisha yao maana kushughulika na hadithi anazopiga Tundulissu wanajua haziwapi mkate wala ada..wala hazibadilishi kitu kwa wazee wao waliopo vijijini..bora wamsikilize Magu anayewaondolea aibu ya Tanzania kwa wageni..

Maana yaliyofanyika kwa Lissu yapo dunia nzima..sio mageni..hayajaanza leo wala jana..nothing new..hata John F Kennedy alitendewa zaidi ya Lissu akiwa kwenye madaraka makubwa ya nchi katika nchi inayoaminika zaidi kwa usalama duniani.

Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe umesikika! Enɗelea kulinda mkate wake! Lakini ƴana mwisho hayo na Cheo ni dhamana.
 
Huyu mtu anajiona kama Tanzania one na hakuna yoyote kama yeye.
Anapita duniani akiwaaminisha watu Tanzania si nchi salama, lakini hadi sasa hatujaona hata balozi au nchi ikiwaambia raia wake waondoke Tanzania au wasije Tanzania..zaidi tunaona wanamiminika.

Miaka kadhaa iliyopita Tanzania ilitishiwa sana na hali ya kiusalama..nakumbuka kwa dar kila ijumaa kulikuwa na maandamano..huko Arusha kulikuwa hakukaliki na mauaji makubwa yalitokea..

Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu.

Leo tunashuhudia Tanzania yenye utulivu, watu wanafanya biashara kila kona bila hofu ya maandamano, polisi wala mgambo.

Ndoto za Tanzania mpya zinatamalaki kila siku..miundo mbinu ya kisasa( flyovers, interchanges, 8 ways)..barabara za highways zinatanuliwa kupishana magari matatu hali itayozuia ajali..ukija upande wa anga viwanja vya ndege vyote ujenzi unaendelea, ndege za kisasa zimenunuliwa, bandari zinatanuliwa, vivuko vya kumwaga, reli ya kisasa na treni za kisasa, masoko ya bidhaa na vyakula yanaendelea kuimarishwa na hivi juzi tumesaini mkataba na shirika la kimataifa.

Hao ambao Lissu anapita kuwaaminisha Tanzania si salama ambao ni watanzania wana ndugu zao huku na wengine waliacha tanzania ikiwa ya hovyo tofauti na sasa..ilikuwa hata aibu kuja na rafiki zao hasa wakifikiria foleni ya tazara, mtiririko wa maji taka, ukosefu wa maji na tatizo kubwa la umeme.

Leo wanaona na kusikia Tanzania ya Magufuli..wanajua..wanamsikiliza lissu kumfariji tu baada ya kutoka wodini.baada ya muda watachoka kumsikiliza maana hatakuwa na jipya tena..kawaida santuri ikiwa mpya watu watataka waisikilize kila mara ila baada ya muda wanaichoka na kuitupa kapuni sababu nyimbo ni zile zile.

Lissu akitaka ajiwekee tena mazingira ya kupigwa risasi ili apigwe akaanzishe nyimbo mpya..ni dhahiri sasa wameshamchoka ndio maana imefikia hatua anaomba hela ya chakula na ada..baada ya muda hata hao anaowaona na kuwaomba hatawaona tena maana nao watakuwa bize na maisha yao maana kushughulika na hadithi anazopiga Tundulissu wanajua haziwapi mkate wala ada..wala hazibadilishi kitu kwa wazee wao waliopo vijijini..bora wamsikilize Magu anayewaondolea aibu ya Tanzania kwa wageni..

Maana yaliyofanyika kwa Lissu yapo dunia nzima..sio mageni..hayajaanza leo wala jana..nothing new..hata John F Kennedy alitendewa zaidi ya Lissu akiwa kwenye madaraka makubwa ya nchi katika nchi inayoaminika zaidi kwa usalama duniani.

Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kwa nini wewe usiwe wa kwanza kuacha kutokota, povu kibao lote hili la nini? tulia dawa inapenya kwenye mishipa usitingishe tako sindano itachomoka na dawa imwagike.
 
Huyu mtu anajiona kama Tanzania one na hakuna yoyote kama yeye.
Anapita duniani akiwaaminisha watu Tanzania si nchi salama, lakini hadi sasa hatujaona hata balozi au nchi ikiwaambia raia wake waondoke Tanzania au wasije Tanzania..zaidi tunaona wanamiminika.

Miaka kadhaa iliyopita Tanzania ilitishiwa sana na hali ya kiusalama..nakumbuka kwa dar kila ijumaa kulikuwa na maandamano..huko Arusha kulikuwa hakukaliki na mauaji makubwa yalitokea..

Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu.

Leo tunashuhudia Tanzania yenye utulivu, watu wanafanya biashara kila kona bila hofu ya maandamano, polisi wala mgambo.

Ndoto za Tanzania mpya zinatamalaki kila siku..miundo mbinu ya kisasa( flyovers, interchanges, 8 ways)..barabara za highways zinatanuliwa kupishana magari matatu hali itayozuia ajali..ukija upande wa anga viwanja vya ndege vyote ujenzi unaendelea, ndege za kisasa zimenunuliwa, bandari zinatanuliwa, vivuko vya kumwaga, reli ya kisasa na treni za kisasa, masoko ya bidhaa na vyakula yanaendelea kuimarishwa na hivi juzi tumesaini mkataba na shirika la kimataifa.

Hao ambao Lissu anapita kuwaaminisha Tanzania si salama ambao ni watanzania wana ndugu zao huku na wengine waliacha tanzania ikiwa ya hovyo tofauti na sasa..ilikuwa hata aibu kuja na rafiki zao hasa wakifikiria foleni ya tazara, mtiririko wa maji taka, ukosefu wa maji na tatizo kubwa la umeme.

Leo wanaona na kusikia Tanzania ya Magufuli..wanajua..wanamsikiliza lissu kumfariji tu baada ya kutoka wodini.baada ya muda watachoka kumsikiliza maana hatakuwa na jipya tena..kawaida santuri ikiwa mpya watu watataka waisikilize kila mara ila baada ya muda wanaichoka na kuitupa kapuni sababu nyimbo ni zile zile.

Lissu akitaka ajiwekee tena mazingira ya kupigwa risasi ili apigwe akaanzishe nyimbo mpya..ni dhahiri sasa wameshamchoka ndio maana imefikia hatua anaomba hela ya chakula na ada..baada ya muda hata hao anaowaona na kuwaomba hatawaona tena maana nao watakuwa bize na maisha yao maana kushughulika na hadithi anazopiga Tundulissu wanajua haziwapi mkate wala ada..wala hazibadilishi kitu kwa wazee wao waliopo vijijini..bora wamsikilize Magu anayewaondolea aibu ya Tanzania kwa wageni..

Maana yaliyofanyika kwa Lissu yapo dunia nzima..sio mageni..hayajaanza leo wala jana..nothing new..hata John F Kennedy alitendewa zaidi ya Lissu akiwa kwenye madaraka makubwa ya nchi katika nchi inayoaminika zaidi kwa usalama duniani.

Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimaliza kukalia utatulia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Na aachwe kweli! Akichoka aje tusakate densi, hope ana miguu ya kuchezea
 

Attachments

  • Polepole Dance Moves.mp4
    4.1 MB · Views: 8
Jamaa kalala wodini mwaka mzima, kutoka tu kaanza kumshitaki Magufuli kwa mzungu yeyote anayekutana naye mtaani. Akili yake bado haijakaa sawa kabisa. Afadhali sasa amerudi tena wodini kupasuliwa, nadhani atatulia kidogo.
Kuzaliwa Tanzania muda mwingine kuna kero zake hasa ukikumbuka ndani ya Tanzania kuna watu wanaitwa magonjwa mtambuka wenyewe ni wafuata upepo mixer kudiscuss kutwa maisha ya Tundu Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu anajiona kama Tanzania one na hakuna yoyote kama yeye.
Anapita duniani akiwaaminisha watu Tanzania si nchi salama, lakini hadi sasa hatujaona hata balozi au nchi ikiwaambia raia wake waondoke Tanzania au wasije Tanzania..zaidi tunaona wanamiminika.

Miaka kadhaa iliyopita Tanzania ilitishiwa sana na hali ya kiusalama..nakumbuka kwa dar kila ijumaa kulikuwa na maandamano..huko Arusha kulikuwa hakukaliki na mauaji makubwa yalitokea..

Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu.

Leo tunashuhudia Tanzania yenye utulivu, watu wanafanya biashara kila kona bila hofu ya maandamano, polisi wala mgambo.

Ndoto za Tanzania mpya zinatamalaki kila siku..miundo mbinu ya kisasa( flyovers, interchanges, 8 ways)..barabara za highways zinatanuliwa kupishana magari matatu hali itayozuia ajali..ukija upande wa anga viwanja vya ndege vyote ujenzi unaendelea, ndege za kisasa zimenunuliwa, bandari zinatanuliwa, vivuko vya kumwaga, reli ya kisasa na treni za kisasa, masoko ya bidhaa na vyakula yanaendelea kuimarishwa na hivi juzi tumesaini mkataba na shirika la kimataifa.

Hao ambao Lissu anapita kuwaaminisha Tanzania si salama ambao ni watanzania wana ndugu zao huku na wengine waliacha tanzania ikiwa ya hovyo tofauti na sasa..ilikuwa hata aibu kuja na rafiki zao hasa wakifikiria foleni ya tazara, mtiririko wa maji taka, ukosefu wa maji na tatizo kubwa la umeme.

Leo wanaona na kusikia Tanzania ya Magufuli..wanajua..wanamsikiliza lissu kumfariji tu baada ya kutoka wodini.baada ya muda watachoka kumsikiliza maana hatakuwa na jipya tena..kawaida santuri ikiwa mpya watu watataka waisikilize kila mara ila baada ya muda wanaichoka na kuitupa kapuni sababu nyimbo ni zile zile.

Lissu akitaka ajiwekee tena mazingira ya kupigwa risasi ili apigwe akaanzishe nyimbo mpya..ni dhahiri sasa wameshamchoka ndio maana imefikia hatua anaomba hela ya chakula na ada..baada ya muda hata hao anaowaona na kuwaomba hatawaona tena maana nao watakuwa bize na maisha yao maana kushughulika na hadithi anazopiga Tundulissu wanajua haziwapi mkate wala ada..wala hazibadilishi kitu kwa wazee wao waliopo vijijini..bora wamsikilize Magu anayewaondolea aibu ya Tanzania kwa wageni..

Maana yaliyofanyika kwa Lissu yapo dunia nzima..sio mageni..hayajaanza leo wala jana..nothing new..hata John F Kennedy alitendewa zaidi ya Lissu akiwa kwenye madaraka makubwa ya nchi katika nchi inayoaminika zaidi kwa usalama duniani.

Aachwe azurule..akichoka ataweka matako chini..akishindwa sana ada zipo shule za wanyonge..awalete wanawe waungane na watoto zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mumehangaika weee mwisho wa siku mumeishia kujichanganya katika kumshambulia Lissu badala ya kujibu hoja zake.

IMG-20190215-WA0001.jpg
tapatalk_1549881831913.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kina Tundulissu wakati huo waliona kawaida na walifurahia sababu waliamini zile damu za wanyonge kule Arusha zitawapa wao madaraka na kwao wao ile ndio ilikuwa hali ya utulivu."





Naomba unielezee hapo kwenye hayo maneno juu
Muuaji wa wandamanaji arusha alikua ni nani??

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyemwaga damu kule Arusha si umeona kilichomkuta juzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom