Ndugu yangu acha wivu.Pole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!
Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.
Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Yaani hii polling link imechezewa Lumumba wee ndo baadaye unaiweka hapa?Wadau pigeni kura huku Lissu anashindwa 👇
😁 Mkuu nimeiona kwa hao jamaa wakipasiana kupiga kura, nikaona isiwe nongwa ngoja niwaletee wadau wafanye yao.Yaani hii polling link imechezewa Lumumba wee ndo baadaye unaiweka hapa?
Asante kwa kujifanya mwenzao lkn kumbe unawachora tu. Kaa humo humo kwenye group lao mkuu. Uwe unatuletea umbea wao😁 Mkuu nimeiona kwa hao jamaa wakipasiana kupiga kura, nikaona isiwe nongwa ngoja niwaletee wadau wafanye yao.
Niliianzishia uzi moderater kwa bahati mbaya wameifuta.
Sikiliza vizuri hapa...CHADEMA msione shida kuwaambia watanzania kwenye matangazo yenu kwa Lissu ni wa Mwisho. Watanzania hatuna haja ya kuchagua vitu vya mwisho. TUZO anapewa mtu wa kwanza Dkt Magufuli. Watanzania tunakwenda na mtu wa kwanza.
Ya nchi hii huyajui dogo. Ya uchaguzi huu huyajui. Unajua ya kujimwambafai JF tu!CCM upooooooooooo!
Mkicheza na uchaguzi huu mtaishia the Hague
Wewe utakuwa ni mwanaccm mwenye kacheo fulani ambaye bado hujairuhusu akili yako kukubaliana na uhalisia kwamba CCM inaondoka madarakani.nchi hii huyajui dogo. Ya uchaguzi huu huyajui.
Yaani wapo watu huko CCM wameshindwa kabisa kwenda na wakati, bado wanaamini katika kuvitumia vyombo vya dola kuilinda CCM, hawasomi historia wala alama za nyakati. Kibaya zaidi ni kwamba wanaamini Tanzania haiwezekani bila hiki chama chakavu na king'ang'anizi kilichoishiwa si uwezo tu bali hata sifa ya kuendelelea kuwepo.Wewe utakuwa ni mwanaccm mwenye kacheo fulani ambaye bado hujairuhusu akili yako kukubaliana na uhalisia kwamba CCM inaondoka madarakani.
Ni kawaida ya punda kurusha Sana mateke roho inapomtoka.
Waseme tu moja kwa moja kuwa Lissu ni wa mwisho. Ndiyo ilivyo ni wa mwisho,. Nani aliwahi kuona mtu aliye wa mwisho kwenye orodha anapewa tuzo. Hatuhitaji kumpa tuzo mtu wa mwisho. Tunampa tuzo no.moja Dkt Magufuli.
Noted and acknowledged.
Nawaonea huruma wapuuzi wanaohangaika wakijitahidi kuzuia Tsunami kwa mikono, Mh. Tundu Antiphas Lissu hamtamweza, Ni YEYE mpende msipende na ole wenu msipochukua tahadhari, mtasombwa na maji. Tunduma mpoooo!
Wabaya wenu ni raia watakao mpigia kura.TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!
Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?
Mlimchokoza wenyewe mtamkoma.Risasi zinauma na kisasi kina uma piaPole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!
Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.
Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Pole sana, Mkuu. Sikujua kama na wewe umesombwa na ngembe za watafuta nongwa!
Mkuu ifikirie Tanzania kwa mara nyingine endapo kama bado una nafasi ndani ya moyo wako wa kutakia mema watanzania wote na upo tayari kuiona Tanzania iliyo imara katika nyanja zote na ya kiamendeleo kwa watanzania wote.
Mkuu, Lissu siyo mgombe mwenye kututakia mema sisi watanzania kwa nyakati hizi. Matendo yake na matamshi yake yana dhibitisha haya.
Usitoe maoni ya jumla jumla. Mimi TL namtaka. Kama wewe humtaki endelea hivyohivyo.Kila mtu amemkataa lissu maskini
kweli usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Tupe mfano wa kilichofanyika bira misaada ya nje. Deni la Taifa ni Trioni ngapi kwa sasa? Watanzania sio wapumbavu hawadanganyiki, eti miradi inajengwa na fedha za ndani. Hata mishahara isingeongezwa kwa miaka 10 mikopo ipo tu.TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!
Mnataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?
Usitoe maoni ya jumla jumla. Mimi TL namtaka. Kama wewe humtaki endelea hivyohivyo.