Tutashitakiwa
Sioni wananchi hapo naona migwanda tu
Umelewa maji ya kijani,huwezi ona!Sioni wananchi hapo naona migwanda tu
Vp hujapewa mrejesho kuwa katua nchi hani huko ughaibuni??Lumumba mnaweweseka sanaTutashitakiwa
nafikiri nivizuri ukituambia alipochukuliaMwambieni arudishe hela ya accacia
Ww ni accacia???Mwambieni arudishe hela ya accacia
Sio wigi bana ...nadhani nyuma yake kuna mwanamke kasimama.MBONA MIGWANDA HAO WANANCHI WAKO WAPI? HALAFU MBONA WAMEMVALISHA WIGI , WAMTAKE RADHI DOMO KAYA
Hivi JINGA LAO anaweza kuona zaidi ya jina lake!Sioni wananchi hapo naona migwanda tu
Kichwa cha Tundu Lissu kimoja huwezi hata kulinganisha na vichwa vya ccm 100 Bungeni Ama kweli ccm ni ungonjwa mbaya no matter uko profisa au Dr ukishaingia ccm basi umepoteza sifa zote hizo na unakua fisadi na bendera kufata upepo .
Jana Ikungi kwa Mhe. Tundu Antipass Lissu alipokelewa kwa kishindo na kupewa heshima ya u Chief katika jimbo lake singida mashariki wananchi wameridhika na jinsi anavyo lipigania taifa.