Lissu is doing more same same work, je tutegemee ukombozi mpya??Inanikumbushia mwaka 1955 pale Mwl.Nyerere alivyoenda kuhutubia UNO kudai uhuru kutoka kwa mabeberu
Lissu is doing more same same work, je tutegemee ukombozi mpya??Inanikumbushia mwaka 1955 pale Mwl.Nyerere alivyoenda kuhutubia UNO kudai uhuru kutoka kwa mabeberu
BBC HARD TALK !!
Hizi sio zama za kutukuza vyombo vya habari vya magharibi!
Sina uhakika.Lissu is doing more same same work, je tutegemee ukombozi mpya??
Kwanini mnateseka si mumuache afanye yake,kwani nyie mnaathirika nini? mwacheni aeleze yaliyomtokea,mbona pole pole naye anafanya mahojiano vyombo kibao vya habari? Lissu yupo nje kwa matibabu sasa mlitaka afanya mahojiano na ITV?Sheria haingalii hilo. Tatizo mnatanguliza sana feelings badala ya reality. Hakuna aliyesema atakufa njaa, lakini aache kulalamika kwa vitu ambavyo viko wazi kabisa. Nyie na mtu wenu bado hamuelewani kabisa
TBC ni kama channel ya familia ya mtuendelea kutukuza TBC low media afrika nzima.
Swali, jee kwenye hilo la mipango ya kutaka kumuondoa kwenye ubunge, kuna ushirikiano wowote baina ya serekali na baadhi ya viongozi wa Chadema, baada ya Lissu kutangaza nia yake ya kugombea Uraisi kupitia chama chake?
Anything is possible in politics
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hana impact hadi sasa waziri mpango yuko analialia huko budget haipangikiHana impact yeyote huko BBC no bora hata angelikua hapa. Hata azunguke dunia nzima bado hatakua na impact.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zama za kumtukuza Magufuli anayeogopa kukutana na wapinzani maana watamchinjaBBC HARD TALK !!
Hizi sio zama za kutukuza vyombo vya habari vya magharibi!