Kwa hiyo mi ni kinya na wwe una kunya siyo!?..mbona Jpm anamuunga mkono Babu Seya na Papii?
Tumekubaliana majibu yatoke bila kumtaja Magufuli!!Magufuli amepwaya mno haamini macho yake kwa jinsi alivyokutana na upinzani imara kabisa, amebakia kufoka, kutisha, kubwabwaja na kupayuka tu.
Kwa hiyo mi ni kinya na wwe una kunya siyo!?
Hilo muulize magufuliKwamba sheria zinazoingilia "privacy" za watu atazifuta? Au lipo lililonipita?