Rwandair has more routes yet making over $50m annuallyYour not abreast of Current affair.... Leo hii Air Tanzania imeenda Zambia na Zimbabwe, pia Mauritius kila wiki mara tatu, kwa mwezi ujue ATCL inatengeneza Faida Pekee yake Billion 4.... na hapo ndege mbili ambazo ni Airbus zilikuwa hazijafika, sasa hapo hasara iko wapi ?? Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.... Unaongelea ndege pekee haujui kama serikali ina vitega uchumi vingi na miradi mingi, umekalili kodi zetu kodi zetu, usikute hata kodi haulipi shubamiti si mpinzani wewe ???
Sent using Jamii Forums mobile app