Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Hili pia lilikuwa tatizo la LIssu kuamini anakwenda kuulizwa mambo ya kupigwa risasi. Baada ya mahojiano hayo, unaweza ukaelewa nini mwandishi alitaka kujua toka kwa Lissu, bahati mbaya hakuweza kukieleza. Yeyey na watu wasiojulikana tuuu!Habari njema sana hii ingawa ni habari mbaya sana kwa watu wasiojulikana na wale wanaowatuma.