gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Kuna punguani mmoja humu Jf huwa na post za aina hii uliyopost wewewalahi ndio chama gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna punguani mmoja humu Jf huwa na post za aina hii uliyopost wewewalahi ndio chama gani
maviii yaani mmpige lisasi zaidi ya 16 mwilini mwake atubu kwa sababu ame survive manina wewe na wenzako ndio mtubu kwakeUnajua!! unaowaomba wakulinde ndio unawachafua kuwa walikushambulia hivi unajielewa kweli.
unaoomba wakulipie matibabu ndio unasema walikushambulia huku ukijua ulikosea kufuata kanuni za rufaa
waliokuwa wanakutetea ndio umeanza kuasema nao wakamatwe wahojiwe hivi unafikiria nini?
unaotaka wakupe ridhaa ugombee bado wapo jera ww unawaza urais na unasema wahojiwe kuhusu ww kushambuliwa
sio ccm wala chadema wote wanahasira na ww kwa kueopoka kwako na kuuza utu mbele ya wazungu.
USHAURI.
Rudi tanzania anzia ikulu omba msamaha,pitaia lumumba omba msamaha.,fika kinondoni omba msamaha,malizia bungeni omba radhi.baada ya hapo funga domo waachie polisi kazi wafanye yao wakitaka ushirikiano fika haraka .
maisha hayataki papala
Poleni Sana! VUMILIENI TU! Lissu hata hivyo amewapa ulaji maana threads mnazofungua zinazomuhusu Lissu kila SAA kila siku, lazima muote vitambi kwa buku 7.Unajua!! unaowaomba wakulinde ndio unawachafua kuwa walikushambulia hivi unajielewa kweli.
unaoomba wakulipie matibabu ndio unasema walikushambulia huku ukijua ulikosea kufuata kanuni za rufaa
waliokuwa wanakutetea ndio umeanza kuasema nao wakamatwe wahojiwe hivi unafikiria nini?
unaotaka wakupe ridhaa ugombee bado wapo jera ww unawaza urais na unasema wahojiwe kuhusu ww kushambuliwa
sio ccm wala chadema wote wanahasira na ww kwa kueopoka kwako na kuuza utu mbele ya wazungu.
USHAURI.
Rudi tanzania anzia ikulu omba msamaha,pitaia lumumba omba msamaha.,fika kinondoni omba msamaha,malizia bungeni omba radhi.baada ya hapo funga domo waachie polisi kazi wafanye yao wakitaka ushirikiano fika haraka .
maisha hayataki papala
Ushashiba supu ya utumbo ww unajamba tu mdomoni saa hii nenda kanye ulale.Wewe mbulukenge kojoa ukalale acha utindiga wako hakuna cha msamaha hao wote hawasitahili kuombwa msamaha bali wao ndiyo waombe msamaha kwa kutetea udikteta wa baba zako
katika kenge wewe ni kenge namba moja,hivi kwa hali aliyokuwa nayo Tundu lissu ulitaka afuate utaratibu gani?yeye alikuwa anapelekwa kama mtu aliyekufa hafahamu chochote,kwa nini usiwalaumu waliompeleka bila kufuata utaratibu?alafu hiyo serikali imechukua hatua gani baada ya Lissu kupigwa risasi?polisi wanaolinda maeneo hayo ya Lisu alipopigiwa risasi walikuwa wapi?kwa nini wasiojiwe? kwa nini nyinyi watu wa ccm mnakuwa hamna akili ya kufikiri?yaani bado mko kwenye mawazo kana kwamba,watanzania wote ni wajiga,ngojeni 2020 lazima tuwapige chini.serikali ndio inayotakiwa kumuomba Lissu msamaha sio Lisu,wacheni ujingaUnajua!! unaowaomba wakulinde ndio unawachafua kuwa walikushambulia hivi unajielewa kweli.
Unaoomba wakulipie matibabu ndio unasema walikushambulia huku ukijua ulikosea kufuata kanuni za rufaa
Waliokuwa wanakutetea ndio umeanza kuasema nao wakamatwe wahojiwe hivi unafikiria nini?
Unaotaka wakupe ridhaa ugombee bado wapo jera ww unawaza urais na unasema wahojiwe kuhusu ww kushambuliwa
Sio CCM wala chadema wote wanahasira na ww kwa kueopoka kwako na kuuza utu mbele ya wazungu.
USHAURI.
Rudi tanzania anzia ikulu omba msamaha,pitaia lumumba omba msamaha.,fika kinondoni omba msamaha,malizia bungeni omba radhi.baada ya hapo funga domo waachie polisi kazi wafanye yao wakitaka ushirikiano fika haraka .
maisha hayataki papala
Unajua!! unaowaomba wakulinde ndio unawachafua kuwa walikushambulia hivi unajielewa kweli.
Unaoomba wakulipie matibabu ndio unasema walikushambulia huku "ukijua ulikosea kufuata kanuni za rufaa"
Waliokuwa wanakutetea ndio umeanza kuasema nao wakamatwe wahojiwe hivi unafikiria nini?
Unaotaka wakupe ridhaa ugombee bado wapo jera ww unawaza urais na unasema wahojiwe kuhusu ww kushambuliwa
Sio CCM wala chadema wote wanahasira na ww kwa kueopoka kwako na kuuza utu mbele ya wazungu.
USHAURI.
Rudi tanzania anzia ikulu omba msamaha,pitaia lumumba omba msamaha.,fika kinondoni omba msamaha,malizia bungeni omba radhi.baada ya hapo funga domo waachie polisi kazi wafanye yao wakitaka ushirikiano fika haraka .
maisha hayataki papala
Atubu kwa kupigwa risasi? Una akili kweli wewe?Unajua!! unaowaomba wakulinde ndio unawachafua kuwa walikushambulia hivi unajielewa kweli.
Unaoomba wakulipie matibabu ndio unasema walikushambulia huku ukijua ulikosea kufuata kanuni za rufaa
Waliokuwa wanakutetea ndio umeanza kuasema nao wakamatwe wahojiwe hivi unafikiria nini?
Unaotaka wakupe ridhaa ugombee bado wapo jera ww unawaza urais na unasema wahojiwe kuhusu ww kushambuliwa
Sio CCM wala chadema wote wanahasira na ww kwa kueopoka kwako na kuuza utu mbele ya wazungu.
USHAURI.
Rudi tanzania anzia ikulu omba msamaha,pitaia lumumba omba msamaha.,fika kinondoni omba msamaha,malizia bungeni omba radhi.baada ya hapo funga domo waachie polisi kazi wafanye yao wakitaka ushirikiano fika haraka .
maisha hayataki papala
Mjinga grade one. Mtu apigwe risasi halafu atubu? Kweli mmemkabidhi jiwe akili maana hamzihitaji huko mliko.Unajua!! unaowaomba wakulinde ndio unawachafua kuwa walikushambulia hivi unajielewa kweli.
Unaoomba wakulipie matibabu ndio unasema walikushambulia huku ukijua ulikosea kufuata kanuni za rufaa
Waliokuwa wanakutetea ndio umeanza kuasema nao wakamatwe wahojiwe hivi unafikiria nini?
Unaotaka wakupe ridhaa ugombee bado wapo jera ww unawaza urais na unasema wahojiwe kuhusu ww kushambuliwa
Sio CCM wala chadema wote wanahasira na ww kwa kueopoka kwako na kuuza utu mbele ya wazungu.
USHAURI.
Rudi tanzania anzia ikulu omba msamaha,pitaia lumumba omba msamaha.,fika kinondoni omba msamaha,malizia bungeni omba radhi.baada ya hapo funga domo waachie polisi kazi wafanye yao wakitaka ushirikiano fika haraka .
maisha hayataki papala
Hv serikali haina hela ya kuwasafairisha wapelelezi wawili kwenda ubelgiji kuhoji? au ushirikiano na Interpol ni kwenye kukamata magari tu?anaaubiliwa lisu na dereva then watahojiwa wote shida ipo wapi.lisu aje tu
Je angekufa angetubu kwa nani? Maccm bwana!Atubu kwa kupigwa risasi? Una akili kweli wewe?
Ndio huyohuyo USSR ,Isis ,sisis ,nyumbu wa walahi jinga kweli yaani linavyojenga hoja uchwara anafikiri pesa atakazotibiwa nazo Lissu ni za babaake jiwe au ccm .apigwe risasi halafu aombe msamaha na waliompiga risasi wafanyaje ?Hivi wewe ndio Walahi?
Kwanini mnaomba matibabu thenWewe mwehu acha hizo umempiga Risasi wewe na bado akuombe msamaha wewe? Acheni kufikiri kwa Akili za mateja wekeni akiba za weledi kidogo