Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,012
Hapana maana baada ya kula tunda ndiyo adam na eva wakajijua kuwa wako uchi, so haihusiani na tunda la ngono, kama ni tunda la ngono basi wangeshakua wanajijua wapo uchi na wakatamaniana wakalanaAsante kidogo nimeelewa sema tu walitumia neno tunda kupunguza makali ila kiuhalisia ni ngono