bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 869
Young d ndiyo alikuwa anamtoboa pamoja na mond domoMbali na Kinje ambaye kwake atakuwa kafuata pesa tu ,atakuwa na chalii wake anayemkuna vizuri ...ndiye mpenzi anaye muongelea bila shaka
Young d ndiyo alikuwa anamtoboa pamoja na mond domoMbali na Kinje ambaye kwake atakuwa kafuata pesa tu ,atakuwa na chalii wake anayemkuna vizuri ...ndiye mpenzi anaye muongelea bila shaka
Ndio kamemshinda kitamboKumbe saba sita kimaro ndiyo baba yake Tunda???duuuh huyo mjeda namjua wa longtime sana alianzia chuga alikuwa kiboko ya vibaka na majambazi sasa hako katoto kamemshindaje kukalea?
Kwann?Nimecheka Sana
Ulikuwa jela umefungwa kabla ya Babu SeYa??????Eti Kinje Ni Mtoto Wa Kingunge???
Ushaona wapi kunguru anafugika?!Tunda akija kuolewa atatulia sana kwa maana kamaliza starehe zote.
Sitafail kwa mtoto wangu aisee. Nitamfungia ndani ikibidi..afunzwe maadili kwanza.Baba yke ni mjeda alikua anaogopeka moshi na mererani ila kwa binti yke kafeli
Baba'ke na huyo mtoto alikuwa ni askari, alikuwa anaogopwa sana na katesa sana watu enzi zake anaitwa Afande Sabasita. Nashangaa kashindwa kumlea mtoto wake.Wazazi wake nao hawajitambui...mtoto kama huyu ni wa kumcharaza bakora na kumpeleka jela akaozee huko.
Inawezekana anafurahia umaarufu wa mtoto wakeBaba'ke na huyo mtoto alikuwa ni askari, alikuwa anaogopwa sana na katesa sana watu enzi zake anaitwa Afande Sabasita. Nashangaa kashindwa kumlea mtoto wake.
Baba yke yuko vizuri tu kiuchumi,2004 akikuaga mpambe wa tajiri mmoja wa madini arusha alizichota pesa haswa bdae ndio akahamishiwa dar kikaziWazazi wenyewe wanamtegemea tunda, sasa walitaka afanyaje, wanajibaraguza tu, na yeye zamu yake bado
Malezi ni wewe mzazi pia mtoto umfundishe maadili na dini,pia mtangulize mungu aongoze familia yakoSitafail kwa mtoto wangu aisee. Nitamfungia ndani ikibidi..afunzwe maadili kwanza.
Kimaro ya machame,sio ile ya romboHivi kweli ana familia;
hapana huyu dada kavuka mipaka jamani;
na sijui ni mchagga wa wapi;
Yes ni kweliMalezi ni wewe mzazi pia mtoto umfundishe maadili na dini,pia mtangulize mungu aongoze familia yako
Pesa za Rushwa za maaskari, ndio zinazozaaa rahana kwa watoto wao. Asilimia kubwa ya watoto Wa maaskari wanakuwa na rahana kwa sababu wazazi wanatumia Pesa za Rahana kwa watoto waoBaba yke ni mjeda alikua anaogopeka moshi na mererani ila kwa binti yke kafeli
Watu wanashangaaa nini? Walitaka aaribikiwe nani? SasaKumbe saba sita kimaro ndiyo baba yake Tunda???duuuh huyo poti namjua wa longtime sana alianzia chuga alikuwa kiboko ya vibaka na majambazi sasa hako katoto kamemshindaje kukalea?
Usisahau kunguru hafugikiTunda akija kuolewa atatulia sana kwa maana kamaliza starehe zote.