Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,184
TUNAZO TAARIFA ZA KIKAO CHA POLEPOLE KIGOMA NA MAAGIZO YAKE
Kikao kilifanyikia CCM mkoa Jana tarehe 2/1/2020.
Walio hudhuria ni
(1) Viongozi wote wa CCM mkoa na wilaya.
(2) Wenyeviti wote wa mitaa 68 iliopo manispaa ya Kigoma /Ujiji.
(3) Watendaji wote wa kata na mitaa ndani ya manispaa.
(4) Mjumbe wa NEC ndugu ng"Enda Kirumbe.
(5) Wakuu wote wa idara hapa halmashauri ya manispaa Kigoma/Ujiji.
(6) Wakuu wote wa vitengo hapa halmashauri ya manispaa Kigoma /Ujiji.
(7) Afisa uchaguzi mpya ndugu Iddy Kalingonje.
(8) Mkurugenzi wa manispaa Ndugu Mwailwa Pangani.
(9) Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
MAAGIZO YA POLEPOLE KWA VIONGOZI HAO WA SERIKALI
1. Kwamba uzi uliotumika kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa ndio utumike kwenye uchaguzi mkuu.
2. Asitokei mtendaji yeyote kumtangaza mpinzani na pindi akifanya hivyo kazi yake itakuwa imekoma.
3. Amewataka watumishi wote wa manispaa kuhakikisha CCM wanapata ushindi kwenye uchaguzi mkuu kuanzia kata mpaka jimbo.
4. Afisa uchaguzi mpya ndugu Iddy Kalingonje yeye ndio kaambiwa ahakikishe anafanya kazi vizuri kama mwenzie walivyofanya kazi vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa nae ameapa kufanya hivyo
Polepole tunakuonya tuna imani wewe na hao wenzako Kigoma hamuifahamu vizuri. Na maagizo yake
Kikao kilifanyikia CCM mkoa Jana tarehe 2/1/2020.
Walio hudhuria ni
(1) Viongozi wote wa CCM mkoa na wilaya.
(2) Wenyeviti wote wa mitaa 68 iliopo manispaa ya Kigoma /Ujiji.
(3) Watendaji wote wa kata na mitaa ndani ya manispaa.
(4) Mjumbe wa NEC ndugu ng"Enda Kirumbe.
(5) Wakuu wote wa idara hapa halmashauri ya manispaa Kigoma/Ujiji.
(6) Wakuu wote wa vitengo hapa halmashauri ya manispaa Kigoma /Ujiji.
(7) Afisa uchaguzi mpya ndugu Iddy Kalingonje.
(8) Mkurugenzi wa manispaa Ndugu Mwailwa Pangani.
(9) Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
MAAGIZO YA POLEPOLE KWA VIONGOZI HAO WA SERIKALI
1. Kwamba uzi uliotumika kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa ndio utumike kwenye uchaguzi mkuu.
2. Asitokei mtendaji yeyote kumtangaza mpinzani na pindi akifanya hivyo kazi yake itakuwa imekoma.
3. Amewataka watumishi wote wa manispaa kuhakikisha CCM wanapata ushindi kwenye uchaguzi mkuu kuanzia kata mpaka jimbo.
4. Afisa uchaguzi mpya ndugu Iddy Kalingonje yeye ndio kaambiwa ahakikishe anafanya kazi vizuri kama mwenzie walivyofanya kazi vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa nae ameapa kufanya hivyo
Polepole tunakuonya tuna imani wewe na hao wenzako Kigoma hamuifahamu vizuri. Na maagizo yake