daringvoice
Member
- Jun 27, 2018
- 34
- 17
Weka oda zako mapema ,Tunapatikana mwanza
Kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, tangazo haliandikwi hivi, labda useme kuwa unatania. Nimekuja hapa kwakua nimeona idea yako ni kubwa sana kwahio jaribu kuwa serious, kuna pesa hapo.
Weka location,
Weka contact details,
Ikibidi weka na working days
Weka kama unafanya collection and delivery au hadi mteja akuletee ofisini
na maelezo mengine yatakusaidia sana kupata wateja na kuonekana uko genuine
PM kuna biashara nyingi. Usifundishe watu kazi zaoHapana, tangazo haliandikwi hivi, labda useme kuwa unatania. Nimekuja hapa kwakua nimeona idea yako ni kubwa sana kwahio jaribu kuwa serious, kuna pesa hapo.
Weka location,
Weka contact details,
Ikibidi weka na working days
Weka kama unafanya collection and delivery au hadi mteja akuletee ofisini
na maelezo mengine yatakusaidia sana kupata wateja na kuonekana uko genuine
Nisamehe Kaka, endelea na "biashara" zakoPM kuna biashara nyingi. Usifundishe watu kazi zao
,Nisamehe Kaka, endelea na "biashara" zako