Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,366
- 45,746
Kwa nini linaonekana ni jambo jema sana la kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuhamishia makao makuu ya nchi Dodoma lakini hatumuenzi kwa kubadilisha katiba yetu kutokana na maneno yake aliyosema “Katiba hii imenipa madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu” ?
Kama tumeamua kuipa kisogo katiba mpya wakati Nyerere alipata kuonya kuhusu katiba aliyoicha tunaweza pia kuacha kutekeleza mchakato wa kuhamia Dodoma.
Au tumekubali kuhamia Dodoma kwa serikali ni muhimu kuliko katiba mpya?
Kama tumeamua kuipa kisogo katiba mpya wakati Nyerere alipata kuonya kuhusu katiba aliyoicha tunaweza pia kuacha kutekeleza mchakato wa kuhamia Dodoma.
Au tumekubali kuhamia Dodoma kwa serikali ni muhimu kuliko katiba mpya?