Tunawasubiri CHADEMA mje na sababu zenu Igunga!

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,274
CDM kwa CCM hana tofauti na mtoto mdogo tena uliemlea mwenyewe tabia zake lazma uzifaham.Sisi tumewazoea haya vp kelele zenu zimeishia wapi?Vipi CCM wameingiza tena kontena la vipodoz?
Ushindi ni strategy sio kulalama!
 
Akili zako hovyoooooo! unaropoka tu bila hata kujua maana ya kile unachoropoka
 
Hongera yenu ccm, cdm mjipange na muandikishe wanachama vijijin na jengen ofice kwenye wilaya na kata. Maandamano yanayohusisha mashabiki siyo kura. Mkijua idadi ya wanachama wenu ndo kura zenyewe.
 
Magwanda huwa hawana sababu za maana, wao wanasusa tu, ngoja uone watavyosusa.

Nawapa pole sana Magwanda kwa kujeruhiwa kisiasa Igunga. Igunga ilikuwa ni turufu ya 2015. Majeraha yaliyowakumba Igunga si madogo yasipelekee kifo chenu, yatafutieni tiba za haraka haraka. Niwajuavyo magwanda wataanza kutafuta machawi kwani katika chaguzi zilizopita tuliona walivyokuja na kusema Zitto ni msaliti anaongea na Rostam Aziz na Jack, hata vielelezo vya sms vikaletwa, sasa safari hii sijui mchawi ni nani, kwani walijisifu sana humu wamedhibiti kila mahali na ushindi ni wao. Napenda kuwajulisha kuwa mchawi wao ni ufinyu wao wa maarifa na wamekuwa wakiongelea watu badala ya mambo muhimu. Hata Igunga ilikuwa ni hivyo hivyo, niliwasikiliza hotuba za Slaa na Mbowe, nikadhani ni wachungaji wanaohubiri Jangwani, walibadili hata sauti zao na kuzifanya za kixhungaji walipohuburi, sijui ni nani aliwadanganya kuwa ukitumia sauti za kichungaji utawapata wengi, well, wamewapata wengi lakini haikuwa good enough.
 
Ccm kushinda mpaka mnaingizwa kwenye life supporting machine?CDM si mchezo
 
ili kuweza kupata ushindi huu mwembamba CCM imebidi isaidiwe kwa kiasi kikubwa na Serikali, polisi, Usalama wa Taifa, Mgambo, Bakwata,
kununua watu kwa mahindi na sukari, kuzua matukio ya kutengeneza, kuweka wabunge ndani hivi vituko vyote ni kinyume na demokrasia
ambayo wamekuwa wakihubiri kila siku.

ushauri wangu kwa chadema:
jipeni muda mufanye analysis yenu kujua what really happened? kama mnaona kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria za uchaguzi
basi muende mkafungue kesi mahakamani ili mahakama itengue matokeo haya ambayo binafsi naona kama Selikali ilishiriki kinyume
kabisa na sheria za uchaguzi kwani viongozi wa serikali hawaruhusiwi kujiusisha moja kwa moja na uchaguzi na hasa kwa kutoa ahadi
za kutumia kodi za wananchi kuwafanyia watu hiki na kile hiyo ni Hongo ya mchana na pia inaondoa fairness kwenye election kwani
vyama vingine visivyo na serikali havina nafasi ya kufanya hivyo.
 
MATOKEO YA NAPE YATAUMBUA CCM ZAIDI KUHUSU UCHAKACHUAJI WAO WA
KUNUNUA KURA ZA CUF NYUMA YA PAZIA IGUNGA



Hebu fikiria

1. mtokeo ya kata moja iitwayo
MBUTU yametolewa mara mbili kwa takwimu za aina mbili tofauti huku CCM ikipata kura nyingi mno katika mazingira hiyo tata (Matangazo ya Nape).

2. Katika hali isiokawaida,
kura za CUF zimepotelea wapi ghafla wakati ni chama kimojawapo kilichokua nga nguvu sana Igunga???????

3. Kwa nini Nape kama kiongozi mojawapo wa vyama vinavyoshindana katika kinyang'anyiro hicho
aachiwe jukumu la KUTANGAZIA TAIFA matokeo ya uchaguzi???

4. Kwa Mujibu wa 'Matokeo ya Nape', CCM imeshinda kwa kura
26,266 na CHADEMA 22,443 lakini kwa kura zilizotokana na kata 22, je kura za kata zingine 4 ziko wapi na kitu gani kinatuminisha kwamba ushindi unaweza ukapatikana bila kata hizo 4???????????

5.
Kwa nini Tume ya Uchaguzi ishindwe mpaka sasa hivi kujumlisha na kutangaza matokeo ya Igunga mpaka hivi sasa lakini Nape na CCM wao waweze????????????

Bila HAKI uchaguzi Igunga bado haujafanyika kamwe!!!!!!!!!!!!!!! Kweli hizi ni Saisa uchwara mtupu chini ya CCM inayoelekea kufa kabla ya 2015.

CDM kwa CCM hana tofauti na mtoto mdogo tena uliemlea mwenyewe tabia zake lazma uzifaham.Sisi tumewazoea haya vp kelele zenu zimeishia wapi?Vipi CCM wameingiza tena kontena la vipodoz?
Ushindi ni strategy sio kulalama!
 
ili kuweza kupata ushindi huu mwembamba CCM imebidi isaidiwe kwa kiasi kikubwa na Serikali, polisi, Usalama wa Taifa, Mgambo, Bakwata,
kununua watu kwa mahindi na sukari, kuzua matukio ya kutengeneza, kuweka wabunge ndani hivi vituko vyote ni kinyume na demokrasia
ambayo wamekuwa wakihubiri kila siku.

ushauri wangu kwa chadema:
jipeni muda mufanye analysis yenu kujua what really happened? kama mnaona kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria za uchaguzi
basi muende mkafungue kesi mahakamani ili mahakama itengue matokeo haya ambayo binafsi naona kama Selikali ilishiriki kinyume
kabisa na sheria za uchaguzi kwani viongozi wa serikali hawaruhusiwi kujiusisha moja kwa moja na uchaguzi na hasa kwa kutoa ahadi
za kutumia kodi za wananchi kuwafanyia watu hiki na kile hiyo ni Hongo ya mchana na pia inaondoa fairness kwenye election kwani
vyama vingine visivyo na serikali havina nafasi ya kufanya hivyo.

Umeshindwa, umeshindwa tu. Huna sabau za msingi. Unaanza kulekule ulikofanya makosa. Mkitaka kushinda muache kuongea sana muanze action. Siasa za kuongea sana zilikuwa za kina Nyerere na hazikuleta tija kwa nchi, siasa za sasa ni action. Fanyeni muiendeleze nchi kama wapinzani. Na si kupiga kelele.
 
Big up cdm kwa resource walizotumia ccm washindi ni nyie,na hii ni dalili njema ktk siasa za tanzania,i know 2015 kila mtu atajitetea nafsi yake na ndipo hapo ccm popote walipowatakapo anguka kwa wingi,magufuri ameahidi madaraja inabidi awajengee cos 2015 sio mbali.
 
Umeshindwa, umeshindwa tu. Huna sabau za msingi. Unaanza kulekule ulikofanya makosa. Mkitaka kushinda muache kuongea sana muanze action. Siasa za kuongea sana zilikuwa za kina Nyerere na hazikuleta tija kwa nchi, siasa za sasa ni action. Fanyeni muiendeleze nchi kama wapinzani. Na si kupiga kelele.

Hivi CCM imefanya kipi cha kuendeleza nchi kama chama kilichopo madarakani? Nchi iko gizani huku ikiendelea kufilisiwa na wajanja waliomo ndani ya nchi na wa kutoka nje ya nchi, unaweza kuorodhesha machache yaliyofanywa na CCM katika kuiendeleza Tanzania?
 
Kwa ccm igunga ndo iwe mfano hasa wa kutimiza ahadi zao.yale maji ya victoria yafike igunga faster na ya madaraja na infrastructure vipewe priority vinginevo ikitokea uchaguzi mwingine igunga itatumika kama feedback kwa ccm na chadema pia.
Dah kafu mnatia huruma.
 
cdm kwa ccm hana tofauti na mtoto mdogo tena uliemlea mwenyewe tabia zake lazma uzifaham.sisi tumewazoea haya vp kelele zenu zimeishia wapi?vipi ccm wameingiza tena kontena la vipodoz?
Ushindi ni strategy sio kulalama!

peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzz, pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!1
 
Magwanda huwa hawana sababu za maana, wao wanasusa tu, ngoja uone watavyosusa.

Nawapa pole sana Magwanda kwa kujeruhiwa kisiasa Igunga. Igunga ilikuwa ni turufu ya 2015. Majeraha yaliyowakumba Igunga si madogo yasipelekee kifo chenu, yatafutieni tiba za haraka haraka. Niwajuavyo magwanda wataanza kutafuta machawi kwani katika chaguzi zilizopita tuliona walivyokuja na kusema Zitto ni msaliti anaongea na Rostam Aziz na Jack, hata vielelezo vya sms vikaletwa, sasa safari hii sijui mchawi ni nani, kwani walijisifu sana humu wamedhibiti kila mahali na ushindi ni wao. Napenda kuwajulisha kuwa mchawi wao ni ufinyu wao wa maarifa na wamekuwa wakiongelea watu badala ya mambo muhimu. Hata Igunga ilikuwa ni hivyo hivyo, niliwasikiliza hotuba za Slaa na Mbowe, nikadhani ni wachungaji wanaohubiri Jangwani, walibadili hata sauti zao na kuzifanya za kixhungaji walipohuburi, sijui ni nani aliwadanganya kuwa ukitumia sauti za kichungaji utawapata wengi, well, wamewapata wengi lakini haikuwa good enough.

ww ni mnafiki usiyejua wapi utokako na uendapo
 
ili kuweza kupata ushindi huu mwembamba CCM imebidi isaidiwe kwa kiasi kikubwa na Serikali, polisi, Usalama wa Taifa, Mgambo, Bakwata,
kununua watu kwa mahindi na sukari, kuzua matukio ya kutengeneza, kuweka wabunge ndani hivi vituko vyote ni kinyume na demokrasia
ambayo wamekuwa wakihubiri kila siku.

ushauri wangu kwa chadema:
jipeni muda mufanye analysis yenu kujua what really happened? kama mnaona kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria za uchaguzi
basi muende mkafungue kesi mahakamani ili mahakama itengue matokeo haya ambayo binafsi naona kama Selikali ilishiriki kinyume
kabisa na sheria za uchaguzi kwani viongozi wa serikali hawaruhusiwi kujiusisha moja kwa moja na uchaguzi na hasa kwa kutoa ahadi
za kutumia kodi za wananchi kuwafanyia watu hiki na kile hiyo ni Hongo ya mchana na pia inaondoa fairness kwenye election kwani
vyama vingine visivyo na serikali havina nafasi ya kufanya hivyo.

Mkuu uliyoyasema yana ukweli ndani yake. Magamba watambue haya yote yana mwisho na sio mrefu
 
Umeshindwa, umeshindwa tu. Huna sabau za msingi. Unaanza kulekule ulikofanya makosa. Mkitaka kushinda muache kuongea sana muanze action. Siasa za kuongea sana zilikuwa za kina Nyerere na hazikuleta tija kwa nchi, siasa za sasa ni action. Fanyeni muiendeleze nchi kama wapinzani. Na si kupiga kelele.

kumbe ff, basi tu. Nitapoteza muda bure.
 
CDM kwa CCM hana tofauti na mtoto mdogo tena uliemlea mwenyewe tabia zake lazma uzifaham.Sisi tumewazoea haya vp kelele zenu zimeishia wapi?Vipi CCM wameingiza tena kontena la vipodoz?
Ushindi ni strategy sio kulalama!

Amesema ukweli mtupu. I HATE CCM lakini kuwatoa madarakani kwa njia ya kura tusahau. Labda nchi nzima iwe kama wananchi wa mkoa wa Mara.
 
Umeshindwa, umeshindwa tu. Huna sabau za msingi. Unaanza kulekule ulikofanya makosa. Mkitaka kushinda muache kuongea sana muanze action. Siasa za kuongea sana zilikuwa za kina Nyerere na hazikuleta tija kwa nchi, siasa za sasa ni action. Fanyeni muiendeleze nchi kama wapinzani. Na si kupiga kelele.

Je ccm wamefanya action zipi? Za kuuza rasilimali zetu! Kuingia mikataba feki? Au viongozi wao kutumia majanga kujitajirisha, ni ukweli usiopingika mchawi wa TZ kupata maendeleo ni ccm
 
Back
Top Bottom