Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,766
Tunawaomba TCRA iweze kuzuia message za mademu wanaomba pesa zisiwafikie wanaotumiwa litakuwa ni Jambo la busara Sana kama wanatasikia vilio vyetu .Maana vizinga vimezidi tunaomba serikali tukufu isikie ombi letu kuzuia message za kuombwa pesa from mademu,michepuko