Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,095
- 37,619
Wanabodi Salaam Sana!
Ama baada ya Salaam, kicha cha somo hapo juu cha husika.
Ni nini ukakasi wa kauli hii? Ukiulizwa (Mgeni) Utaondoka lini? Unajiskiaje? Wewe uliemuuliza Mgeni, Utaondoka lini, ulikuwa na msukumo gani? Ni sahihi kukaa na Mgeni pasi na kujua ataondoka lini? Kwa nini Mgeni asiulizwe? Kwa nini aulizwe?
Mila, Tamaduni, Lugha gongana au hata Mazoea yetu yametuathiri, inawezekana umewahi kukwazika na kauli: ''MGENI UTAONDOKA LINI?''
Tuelimishane!
Ama baada ya Salaam, kicha cha somo hapo juu cha husika.
Ni nini ukakasi wa kauli hii? Ukiulizwa (Mgeni) Utaondoka lini? Unajiskiaje? Wewe uliemuuliza Mgeni, Utaondoka lini, ulikuwa na msukumo gani? Ni sahihi kukaa na Mgeni pasi na kujua ataondoka lini? Kwa nini Mgeni asiulizwe? Kwa nini aulizwe?
Mila, Tamaduni, Lugha gongana au hata Mazoea yetu yametuathiri, inawezekana umewahi kukwazika na kauli: ''MGENI UTAONDOKA LINI?''
Tuelimishane!