NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,730
- 2,322
Next week mkuu
Mzigo ukifika ni Pm
Next week mkuu
Sit up Inclined bench
Kamilisha makazi yako kuwa sehemu tosha ya mazoez usihofie tena kuchelewa kutoka kazini na kuwahi gym,mzigo hua hapa utaletewa mpaka mlangoni
Kwa sh 250,000 tu.
Muda wowote baada ya wiki hii mzigo wa #revoflex_extreme utaingia,kwa sababu ziko chache ntapokea order zenu mapema ili uwahi kupata unachokitaka,waliotoa order hapo awali taarifa zenu bado zipo sio kwamba mtakosa,
Unachotakiwa kufanya ni kutuma jina lako kisha neno revoflex,then tuma kwenda namba hizi [HASHTAG]#0758728258[/HASHTAG] au [HASHTAG]#0718327776[/HASHTAG]
Malipo utafanya baada ya kukabidhiwa mzigo wako
#itauzwa_tsh_40,000
#free_delivery_in_dsm
Karibuni
Habari za wakati wana JF,napenda kuchukua fursa hii kuwaletea vifaa mbali mbali ambavyo waweza vitumia mahala popote,ni rahisi kubebeka na unaweza kufanya mazoezi wakati wowote kutokana na ratiba zako
1. Nianze na vigodoro(mattress)
Vigodoro hivi ni vyepesi,imara na vina urefu wa zaid ya futi sita,vinakuja na kibegi chake cha kubebea ambapo inafanya iwe rahis zaidi kubeba,unaweza kukitandika eneo lolote,vitakusaidia kuepukana na sugu ambazo watu wanazipata katika mazoez tofaut hasa ya kukata tumbo,pia kama wewe ni mtu wa kufanya mazoez katik viwanja mfano udsm pale kwenye viwanja vya tennis,bas hichi ni kitu unachokihitaji zaid
Vigodoro hivi vinapatikana kwa shilingi elfu 35,000na 60,000 tu ,ni free delivery kwa watu wa dar es salaam
Piga namba 0758728258
2.pia kuna dumbbell
Zenye uzito mbali mbali kuanzia kilo 1 mpaka tano,zinauzwa kwa pair(yaani mbili) ya kushoto na kulia
Kilo moja-elf 28 (zote mbili)
Kilo mbili- elf 38 (zote mbili)
Kilo tatu -elf 65 (zote mbili)
Kilo nne- elfu 75(zote mbili)
Kilo tano- elfu 85(zote mbili)
3.pia kuna mkanda wa kupunguza tumbo unaotumia umeme(SAUNA BELT)
Kwa kukujali zaidi tunakupatia na ratiba nzur ya kufanya diet ili uweze kupunguza mafuta na uzito kwa haraka,mkanda huu unaufunga tumboni muda ambao utakuwa umepumzika,kwa mfano wakati umetoka kazini jioni,kisha unachomeka kwenye umeme,ina switch ambayo inacontroll joto unalolitaka,mkanda huu hutoa mvuke mvuke wenye joto ambao huburn mafuta yote yaliyotumboni,na kulipunguza tumbo kwa haraka
Huu unapatikana kwa sh 40,000 unapewa na tape kabisa ambayo utakuwa unajipima kuangalia mabadiliko
4.pia tunauza ankle support kwa shilingi elfu 10
Kneel support sh 13
Elbow support sh 13
Hizi ni kwa wale walioshtuka magoti,enka na viwiko,vitakusaidia upone kwa haraka huku uliendelea na mazoezi kama kawaida
Bila kusahau vyuma vya push up kwa shilingi elfu 35
Na hivi ni elf 20
Kumbuka kwa wakazi wa dar es salaam ni free delivery
Tuwasiliane kupitia 0758728258
Hizi ndizo faida 50 za mazoezi
Zifuatazo ni moja ya sababu 50 mhimu za kufanya mazoezi kwa afya bora na maisha marefu bila maumivu:
1. Hukufanya ujisikie vizuri
2. Huongeza uwezo wa kujifunza
3. Hujenga uwezo wa kujistahi
4. Huongeza nguvu ya ubongo kufanya kazi
5. Huuweka mwili wako kuwa unaofaa (fit) na wenye uwezo
6. Huongeza afya ya akili yako
7. Huongeza kinga ya mwili
8. Hupunguza mfadhaiko/stress
9. Hukufanya ujisikie vizuri/mwenye furaha
10. Hukufanya usizeeke mapema
11. Huweka ngozi yenye mng’aro na yenye afya
12. Husaidia kupata usingizi mtulivu
13. Husaidia kuzuia ugonjwa wa kiharusi/strokes
14. Huongeza ufanisi katika makutano/joints ya mwili
15. Huongeza nguvu za mishipa
16. Huondoa wasiwasi
17. Huongeza kumbukumbu
18. Husaidia kudhibiti ulevi/uteja
19. Huongeza uzarishaji
20. Huongeza uwezo wa ubunifu
21. Hupendezesha muonekano wa mwili
22. Huongeza uwezo wa kujiamini
23. Husaidia kuongeza nguvu juu ya malengo yako maishani
24. Huondoa tatizo la kukinaishwa na chakula
25. Huongeza miaka ya kuishi
26. Hukomaza mifupa
27. Huongeza afya ya moyo
28. Huongeza hali ya kuwa na msimamo
29. Huondoa homa ndogo ndogo mwilini
30. Huongeza hamu ya kula
31. Hudhibiti usawa wa lehemu/kolesteroli
32. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na baadhi ya kansa
33. Hushusha shinikizo la juu la damu/BP
34. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na kisukari
35. Huzuia kupatwa na ukichaa/uwendawazimu
36. Hupunguza au huzuia maumivu ya mgongo
37. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa mifupa
38. Hupunguza hisia/fikra za kujisikia vibaya au huzuni
39. Huzuia kupotea kwa mishipa
40. Huongeza nguvu na ustahimilivu
41. Huongeza ufanisi katika michezo
42. Huongeza uwezo wa kuvumilia maumivu
43. Huongeza usawa na ushirikiano wa mwili
44. Huongeza usambazaji wa oksijeni katika seli za mwili
45. Huongeza hali ya ufuatiliaji/concentration
46. Huongeza uwezo wa kujitawala na kujidhibiti nafsi
47. Huondoa uchovu
48. Huongeza nguvu katika tendo la ndoa
49. Hufanya maisha ni yenye kuvutia zaidi
50. Huongeza ubora wa maisha
Upo mkuu ntakutafuta kesho kutwa
unapatikana wapiKaribu sana mkuu