hatym
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 513
- 178
Habari za wakati wana JF,napenda kuchukua fursa hii kuwaletea vifaa mbali mbali ambavyo waweza vitumia mahala popote,ni rahisi kubebeka na unaweza kufanya mazoezi wakati wowote kutokana na ratiba zako
1. Nianze na vigodoro(mattress)
Vigodoro hivi ni vyepesi,imara na vina urefu wa zaid ya futi sita,vinakuja na kibegi chake cha kubebea ambapo inafanya iwe rahis zaidi kubeba,unaweza kukitandika eneo lolote,vitakusaidia kuepukana na sugu ambazo watu wanazipata katika mazoez tofaut hasa ya kukata tumbo,pia kama wewe ni mtu wa kufanya mazoez katik viwanja mfano udsm pale kwenye viwanja vya tennis,bas hichi ni kitu unachokihitaji zaid
Vigodoro hivi vinapatikana kwa shilingi elfu 35,000
na 60,000 tu ,ni free delivery kwa watu wa dar es salaam
Piga namba 0758728258
2.pia kuna dumbbell
Zenye uzito mbali mbali kuanzia kilo 1 mpaka tano,zinauzwa kwa pair(yaani mbili) ya kushoto na kulia
Kilo moja-elf 28 (zote mbili)
Kilo mbili- elf 38 (zote mbili)
Kilo tatu -elf 65 (zote mbili)
Kilo nne- elfu 75(zote mbili)
Kilo tano- elfu 85(zote mbili)
3.pia kuna mkanda wa kupunguza tumbo unaotumia umeme(SAUNA BELT)
Kwa kukujali zaidi tunakupatia na ratiba nzur ya kufanya diet ili uweze kupunguza mafuta na uzito kwa haraka,mkanda huu unaufunga tumboni muda ambao utakuwa umepumzika,kwa mfano wakati umetoka kazini jioni,kisha unachomeka kwenye umeme,ina switch ambayo inacontroll joto unalolitaka,mkanda huu hutoa mvuke mvuke wenye joto ambao huburn mafuta yote yaliyotumboni,na kulipunguza tumbo kwa haraka
Huu unapatikana kwa sh 40,000 unapewa na tape kabisa ambayo utakuwa unajipima kuangalia mabadiliko
4.pia tunauza ankle support kwa shilingi elfu 10
Kneel support sh 13
Elbow support sh 13
Hizi ni kwa wale walioshtuka magoti,enka na viwiko,vitakusaidia upone kwa haraka huku uliendelea na mazoezi kama kawaida
Bila kusahau vyuma vya push up kwa shilingi elfu 35
Na hivi ni elf 20
Kumbuka kwa wakazi wa dar es salaam ni free delivery
Tuwasiliane kupitia 0758728258
1. Nianze na vigodoro(mattress)
Vigodoro hivi ni vyepesi,imara na vina urefu wa zaid ya futi sita,vinakuja na kibegi chake cha kubebea ambapo inafanya iwe rahis zaidi kubeba,unaweza kukitandika eneo lolote,vitakusaidia kuepukana na sugu ambazo watu wanazipata katika mazoez tofaut hasa ya kukata tumbo,pia kama wewe ni mtu wa kufanya mazoez katik viwanja mfano udsm pale kwenye viwanja vya tennis,bas hichi ni kitu unachokihitaji zaid
Vigodoro hivi vinapatikana kwa shilingi elfu 35,000
Piga namba 0758728258
2.pia kuna dumbbell
Zenye uzito mbali mbali kuanzia kilo 1 mpaka tano,zinauzwa kwa pair(yaani mbili) ya kushoto na kulia
Kilo moja-elf 28 (zote mbili)
Kilo mbili- elf 38 (zote mbili)
Kilo tatu -elf 65 (zote mbili)
Kilo nne- elfu 75(zote mbili)
Kilo tano- elfu 85(zote mbili)
3.pia kuna mkanda wa kupunguza tumbo unaotumia umeme(SAUNA BELT)
Kwa kukujali zaidi tunakupatia na ratiba nzur ya kufanya diet ili uweze kupunguza mafuta na uzito kwa haraka,mkanda huu unaufunga tumboni muda ambao utakuwa umepumzika,kwa mfano wakati umetoka kazini jioni,kisha unachomeka kwenye umeme,ina switch ambayo inacontroll joto unalolitaka,mkanda huu hutoa mvuke mvuke wenye joto ambao huburn mafuta yote yaliyotumboni,na kulipunguza tumbo kwa haraka
Huu unapatikana kwa sh 40,000 unapewa na tape kabisa ambayo utakuwa unajipima kuangalia mabadiliko
4.pia tunauza ankle support kwa shilingi elfu 10
Kneel support sh 13
Elbow support sh 13
Hizi ni kwa wale walioshtuka magoti,enka na viwiko,vitakusaidia upone kwa haraka huku uliendelea na mazoezi kama kawaida
Bila kusahau vyuma vya push up kwa shilingi elfu 35
Na hivi ni elf 20
Kumbuka kwa wakazi wa dar es salaam ni free delivery
Tuwasiliane kupitia 0758728258