INAUZWA Tunauza suti kwa bei nafuu kabisa

Mancobra

Member
May 31, 2021
54
95
Suti mseleleko ni wauzaji wa suti za kike, kiume na suti za watoto kwa wateja wa Dar-es - salaam na mikoani. Bei zetu ziko poa kabisa zinaendana na gharama ya fedha yako.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana Nasi kupitia namba;
WhatsApp number: 0712878245

IMG-20210719-WA0025.jpg


IMG-20210719-WA0021.jpg


IMG-20210719-WA0017.jpg


IMG-20210718-WA0066.jpg


IMG-20210717-WA0007.jpg


Screenshot_20210715-192543.png


Screenshot_20210715-192550.png


IMG-20210714-WA0013.jpg


IMG-20210719-WA0056.jpg


IMG-20210719-WA0052.jpg


Suti za kiume(mikoani)
Suti plain 130,000/=
Suti za fashion 160,000/=
Suti za kike 120,000/=
Suti za kiume (Dar)
140,000/=
Suti za kike(100,000/=)
Karibuni🤝🏾
 
Tunauza Suti za kiume aina zote, zipo
plain suits na fashion suits size zote. Suti zetu ni 2 pieces(koti na suruali) na 3 pieces (koti, kizibao na suruali)

Bei ya suti;

Plain suti
2 pieces(koti&suruali)-140,000/=
3 pieces(koti, kizibao&suruali)-150,000/=

Fashion Suti- 170,000/=

Tunatoa huduma Dar na mikoani kwa kufanya free delivery na kwa uaminifu mkubwa.
Kwa mawasiliano zaidi:
Whatsapp: 0712878245
Call: 0627706577

Suti zetu ni za makampuni ya DARO, BAGOZZA na ABSAHET, vitambaa vyote ni vizuri.

IMG-20210818-WA0023.jpg


IMG-20210818-WA0017.jpg


IMG-20210818-WA0019.jpg


IMG-20210818-WA0022.jpg


IMG-20210818-WA0021.jpg


IMG-20210818-WA0011.jpg


IMG-20210818-WA0004.jpg


IMG-20210813-WA0017.jpg


IMG-20210818-WA0006.jpg


IMG-20210818-WA0008.jpg


IMG-20210816-WA0013.jpg


IMG-20210816-WA0011.jpg


IMG-20210817-WA0007.jpg


IMG-20210817-WA0006.jpg


IMG-20210818-WA0014.jpg


IMG-20210818-WA0007.jpg


IMG-20210816-WA0004.jpg


IMG-20210816-WA0002.jpg


IMG-20210816-WA0001.jpg


IMG-20210816-WA0006.jpg


IMG-20210816-WA0007.jpg


IMG-20210726-WA0022.jpg


IMG-20210726-WA0023.jpg


IMG-20210726-WA0020.jpg
 
jipatie Suti kali za kiume kwa bei poa kabisa.
Plain suit- 140,000/=
Fashion suit- 170,000/=
Kaunda/Safar suit- 120,000/=

Kwa wateja wa Dar es salaam tunafanya free delivery na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.

Kwa mawasiliano zaidi;
Whatsapp: +255712878245
Call: +255743230690

255762617089_status_2c444782934645f0b946f7c024ae3f1c.jpg


255788354726_status_28439989234a4c5fa7db4a9fd629d649.jpg


IMG-20210910-WA0001.jpg


IMG-20210909-WA0014.jpg


IMG-20210909-WA0015.jpg


IMG_20210907_170501_389.jpg


IMG_20210907_170501_512.jpg


IMG_20210907_170501_766.jpg


IMG_20210907_170501_814.jpg


IMG_20210907_170501_843.jpg
 
Babe unaenda ukweni wapi huko suti 5😜
😁😁😁 Babe nataka kutia nia ya ubunge huku Lushoto! Wasambaa wananikubali kweli kweli. Sasa nataka niwe nazo hata hizo tano tu ili wakina Shangazi wakirudi kusalimia wapiga kura wasinitambishie.

Na mimi wameshanisimika tayari kuwa Mtemi wa Wasambaa wote duniani!
 
😁😁😁 Babe nataka kutia nia ya ubunge huku Lushoto! Wasambaa wananikubali kweli kweli. Sasa nataka niwe nazo hata hizo tano tu ili wakina Shangazi wakirudi kusalimia wapiga kura wasinitambishie.

Na mimi wameshanisimika tayari kuwa Mtemi wa Wasambaa wote duniani!
Kila rakheri babe Mtemi 😂😂 ila habari ya wajumbe unaifahamu vizuri kuhusu kukata? Usijiamini sana😀
 
Kila rakheri babe Mtemi 😂😂 ila habari ya wajumbe unaifahamu vizuri kuhusu kukata? Usijiamini sana😀
😁😁😁 Ngoja nimuulize huyu mentor wangu Pascal Mayalla anipe mbinu za kuwazidi maarifa hao WAJUMBE!! Maana nasikia ni noma kweli kweli!

Wanakupa matumaini na kukujaza upepo kweli kweli, halafu wakati wa kutangazwa matokeo unaambiwa umepata kura moja tu!!! 🙄
 
😁😁😁 Ngoja nimuulize huyu mentor wangu Pascal Mayalla anipe mbinu za kuwazidi maarifa hao WAJUMBE!! Maana nasikia ni noma kweli kweli!

Wanakupa matumaini na kukujaza upepo kweli kweli, halafu wakati wa kutangazwa matokeo unaambiwa umepata kura moja tu!!! 🙄
😂 watakwambia umepita bila kupingwa ila siku ya kuhesabu kura hata yako itakosekana🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom