Magari Nusubei
Senior Member
- Dec 3, 2020
- 101
- 61
- Thread starter
- #121
Kiwanja ni kikubwa sana
nimeweka na picha ya eneo la ndaniSasa plot yenyewe ndo hiyo barabara au hiyo njia mbovu mbovu ya watembea kwa miguu?! Ingawaje umetaja plot kuzungushiwa uzio, bado ninachokiona na ukuta kwa mbali ukiwa ng'ambo ya barabara.
HUO UKUTA MWEUPA WENYE GETI JEKUNDUSasa plot yenyewe ndo hiyo barabara au hiyo njia mbovu mbovu ya watembea kwa miguu?! Ingawaje umetaja plot kuzungushiwa uzio, bado ninachokiona na ukuta kwa mbali ukiwa ng'ambo ya barabara.
Hiyo sasa ndo biashara lakini pale mwanzo watu wangekuona tapeli tu!nimeweka na picha ya eneo la ndani
Sawa mkuuHiyo sasa ndo biashara lakini pale mwanzo watu wangekuona tapeli tu!
InvestmentMilino mia moja, mia mbili, Mia tatu mpaka mia nne.
Kuna ubaya mkuu?Naona dalali umeshaweka 2 za kwako.
Huu ni mgogoro tosha🙄PARKING HAINA
Labda si type ya nyumba kwa mteja unayemuwaza wewe...Huu ni mgogoro tosha🙄
Mangaji na wageni wake wajitafutie parking?
Sqm 200 tu..nyumba imejaa ktk eneoEneo lina ukubwa gani mkuu?