lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,444
Tangazo lanini mkuu?Weka Tangazo lako
Acha kiburi, badilisha tangazo nyumba yako ionekane vizuri uuze. Utaishia kukaribisha watu tu mpaka lini.Karibuni sanaa
Mkuu umepanic sana, soma uzi na replies uelewe 😀... mi sijatangaza kuuza garinLagari lako unalo uza unawwkaje ndani yatangazo langu km unagari sifungua tangazo lako weka gari lako
Sasa Kama hauna hela, kwann unataka Kodi ya mwaka mzima? Yaaani mtu alipe 1,250,000 x 12 =15,000,000 mil , then ndo afungue biashara? Utasubir mtume au Yesu ashuke dunian kwa mashart hayoBoss Sina Hela hapo nimesema TU Kwan ukiamua kufua hospital Kuna tatizo
Iko wapi?Sijuja kujifunza kiswahili aise wewe km mwalimu omba darasa ukafundishe
Kijana wa hovyo kabisaNjoo nayo kariakoo nione iyo nyumba nikulipe cash
Nenda Ukakope benki au Saccos.Sina Hela fungua mm ntasimamia
Laki 7 huchukui, gari ishachoka hiiWHATSAPP 0712690760
Mwaka:2005
Engine capacity:1480
km 127865
petrol
Automatic
Engine safi gia Box safi
Ipo: kinondoni
MILL 7 .5
0712690760/0755984282View attachment 2154208
Ngoja waje wajasiliamali wa dini kuja kupangisha na kulifanya kanisa wawe wanachezea akili wake za watu wasiojitambua.NYUMBA HINA PANGISHWA
A).Inavyumba 4 single ambanyo havina nyoo
B).Inavyumba 6 vyenye vyoo
C).ukumbi upo wakuingia watu 20 mpk30
D)Kuna kisehemu kama kaunt
C) Parking ya Gari km 5 hivi
D) maji yakisima
F) Vyoo vya njee vipo 4
Mahali ipo ni temeke mtaa wa boko kalibu na makabulini
PANAFAA KWA BAR NA GEST AU HOTEL NA PIA KWA MAKAZI AU KAMPUN KUKODI
KWAMWEZI KODI 1,250,000 HINAHITAJIKA KODI YA MWAKA 1
PIA KAMA UNAHITAKI KUWEKEZA KUBOMOA NAKUJENGA GOROFA TUNAWEZA HINGIA MAKUBALIANO
CM 0712690760/0755984282View attachment 1979515
Ukishindwa kunilipa itabidi nikuoe tuNikopeshe Wewe nifungue