Tunatoa kozi za uhasibu na ununuzi

beal

Senior Member
Dec 30, 2012
114
60
JE UNA MTOTO/NDUGU yako aliyefeli kidato cha nne/sita?
KP Professional Services(KPS) kwa kushirikiana na bodi ya uhasibu (NBAA) pamoja na bodi ya ununuzi (PSPTB) tunafundisha courses za uhasibu na manunuzi kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi kuwa Certified Public Accountant(CPA) au Certified Procurement and Supplies Professional (CPSP)
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu mnazi mmoja au wasiliana nasi kwa 0686996320 au 0713290208 au 0755829991
KARIBU SANA
 
Ningependa kujua gharama zake zinakuwaje na jinsi ya mafunzo yananvyoendeshwa..elimu form 4..Nina D4...kozi nayoitaji Cps...nimeuliza hapa ili wengne nao wapate kujua
 
Ningependa kujua gharama zake zinakuwaje na jinsi ya mafunzo yananvyoendeshwa..elimu form 4..Nina D4...kozi nayoitaji Cps...nimeuliza hapa ili wengne nao wapate kujua
Ada ya review classes kituoni kwetu ni Tsh 410,000 kwa foundation stage, 710,000 kwa intermediate stage na 490,000 kwa final stage.
 
Ada ya review classes kituoni kwetu ni Tsh 410,000 kwa foundation stage, 710,000 kwa intermediate stage na 490,000 kwa final stage.
Naomba ufafanunue zaid kwwnye hzo stages ndo zinakuwaje!!...yaan no sawa na certificate'dip etc!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom