Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Ukimuondoa Mwalimu Nyerere, Kuna uwezekano Mkubwa sana watawala wetu ni wajinga, ni wajinga wa mambo mengi, tena ni wajinga toka siku nyingi, toka wadogo, ujanani mwao na wengi mpaka wamefikia uzee.
Kama ni Marais, nadhani karibia wote hawajawahi kuwa na ufanisi katika masomo yao,inawezezekana kuanzia kwa Mwinyi,Mkapa,Kikwete,Sumaye,Malecela,Warioba,Sumaye,Lowasa, Pinda,Msekwa,Sitta, Makinda umakini wao kwenye elimu ya msingi, secondary,mpaka elimu ya juu walikuwa ni wajanja wajanja tu,wasindikizaji, ufaulu wao ulikuwa ni wastani, hawakuwa na bongo zilizochemka.
Ndio maana na utendaji wao ni hivyo hivyo, wooote wanafanana, wajanja wajanjaaa, watu wa mitandao isiyo rasmi,waliozungukwa na wapambe lukuki, bila wapambe hawajiwezi (kama walivyokuwa wanashindwa kufukuruka kwa utofauti wakibaki wao,kalamu,karatasi za maswali na zile za majibu no kuangalizia, usimamizi mahili)
Naweza kupinga hapa. Hao wooote niliowataja kwa mfano, woote hakuna aliyewahi kupata Alama ya B Katika Hesabu. wote.
Kama ni Marais, nadhani karibia wote hawajawahi kuwa na ufanisi katika masomo yao,inawezezekana kuanzia kwa Mwinyi,Mkapa,Kikwete,Sumaye,Malecela,Warioba,Sumaye,Lowasa, Pinda,Msekwa,Sitta, Makinda umakini wao kwenye elimu ya msingi, secondary,mpaka elimu ya juu walikuwa ni wajanja wajanja tu,wasindikizaji, ufaulu wao ulikuwa ni wastani, hawakuwa na bongo zilizochemka.
Ndio maana na utendaji wao ni hivyo hivyo, wooote wanafanana, wajanja wajanjaaa, watu wa mitandao isiyo rasmi,waliozungukwa na wapambe lukuki, bila wapambe hawajiwezi (kama walivyokuwa wanashindwa kufukuruka kwa utofauti wakibaki wao,kalamu,karatasi za maswali na zile za majibu no kuangalizia, usimamizi mahili)
Naweza kupinga hapa. Hao wooote niliowataja kwa mfano, woote hakuna aliyewahi kupata Alama ya B Katika Hesabu. wote.