Tunatamani ugaidi au tunatengeneza propaganda? Kwa faida ya nani?

onjwayo

JF-Expert Member
Apr 8, 2020
1,346
1,303
Kitendo cha kumkamata Mbowe na kumtuhumu kuwa ni gaidi tunajaribu kutengeneza dhana mbaya sana mioyoni mwa watanzania masikini wapenda amani.

Tanzania miaka yote haijawahi kufikia hatua hii Wala kuwa na kikundi cha watu wenye kuwaza kuwa magaidi. Sana sana tulichoshuhudia ni utekaji, kubambikizwa watu vyesi vya hukumu uchumi, uchochezi na kuuwawa baadhi ya watu kwa jina ya wasiojulikana.

Kwa miezi kadhaa wananchi wameanza kupumua kwa maana vitendo hivi vya kuteka vilianza kutoweka. Sasa Tena polisi wanatukumbusha enzi za Omary Mahita kupaka visu rangi ya chama cha CUF kisha kuwatangazia umma kuwa chama hicho ni cha kigaidi.

Pia hao polisi katika statements za kujichanganya walisema Chadema wameingiza makomandoo nchini kipindi cha kampeni 2010.

Kwa vitendo na Tabia hizi tunapenyeza habari mbaya kwenye masikio ya wapenda amani. Mbowe awe gaidi halafu wenzake 6 wakamatwe, kwa Nini asitoroke maana njama zimefichuka.

Gaidi gani yuko front bila kuficha uso kwa matendo yake? Kweli naona Kama polisi wanatamani Sana magaidi waingie nchini. Hii nchi tunaabudu Mungu na kila mtanzania ni mcha Mungu.

Tusibambikiane kesi; kikubwa tushirikiane na kumsaidia rais kwa vitendo na kifikra. Amani ni Bora kuliko madaraka.
 
Nashangaa mipolisi haina akili unatangaza dunia Tanzania kuna magaidi ....watalii watakuja ? Vipi wawekezaji ? Poor Zero .
....ubunifu umeisha
 
Nashangaa mipolisi haina akili unatangaza dunia Tanzania kuna magaidi ....watalii watakuja ? Vipi wawekezaji ? Poor Zero .
....ubunifu umeisha
Akili ndogo Sana na hii ndiyo laana tunayokumbana nayo. Mwigulu siyo mzuri....mama akimweka hapo atachafua Hali ya hewa
 
Wakati masheikh wamekamatwa na kupewa kesi kama hiyo mlikuwa mnafurahia leo kibao kimewageukia mnalalama! Watanzania tuache unafiki na ubaguzi.
 
Mojawapo ya tuhuma mbovu na za kishamba kabisa kuwahi kutokea...!!!
Kumbukeni kesi Ya Lwakatare na Ugadi dhidi Ya Msacky. Steven Wasira na Mwigulu Nchemba hawakufanikiwa kuifuta Chadema. Hapa polisi inatakiwa wauthibitishie Ulimwengu Kuwa Mbowe ni Gaidi, vinginevyo Kuna giza nene mbeleni.
 
Kitendo cha kumkamata Mbowe na kumtuhumu kuwa ni gaidi tunajaribu kutengeneza dhana mbaya sana mioyoni mwa watanzania masikini wapenda amani.

Tanzania miaka yote haijawahi kufikia hatua hii Wala kuwa na kikundi cha watu wenye kuwaza kuwa magaidi. Sana sana tulichoshuhudia ni utekaji, kubambikizwa watu vyesi vya hukumu uchumi, uchochezi na kuuwawa baadhi ya watu kwa jina ya wasiojulikana.

Kwa miezi kadhaa wananchi wameanza kupumua kwa maana vitendo hivi vya kuteka vilianza kutoweka. Sasa Tena polisi wanatukumbusha enzi za Omary Mahita kupaka visu rangi ya chama cha CUF kisha kuwatangazia umma kuwa chama hicho ni cha kigaidi.

Pia hao polisi katika statements za kujichanganya walisema Chadema wameingiza makomandoo nchini kipindi cha kampeni 2010.

Kwa vitendo na Tabia hizi tunapenyeza habari mbaya kwenye masikio ya wapenda amani. Mbowe awe gaidi halafu wenzake 6 wakamatwe, kwa Nini asitoroke maana njama zimefichuka.

Gaidi gani yuko front bila kuficha uso kwa matendo yake? Kweli naona Kama polisi wanatamani Sana magaidi waingie nchini. Hii nchi tunaabudu Mungu na kila mtanzania ni mcha Mungu.

Tusibambikiane kesi; kikubwa tushirikiane na kumsaidia rais kwa vitendo na kifikra. Amani ni Bora kuliko madaraka.
Badala yake nchi hii itakuwa masikini zaidi vitu vinavyosababisha umasikini ni 'political, physical and environmental factors' 1. Siasa 2.Afya 3.Yanayomzunguka mwanadamu Asilimia 80% ya mafaniko kwenye biashara yanategemea mjasiriamali mwenyewe (personal qualities) cha ajabu asilimia 20% inanguvu zaidi
 
Mojawapo ya tuhuma mbovu na za kishamba kabisa kuwahi kutokea...!!!
Kosa walilofanya wachaga kushangilia kifo cha Magufuli litawagharimu hadi kizazi cha tatu.
#Gaidi
#corona imekita mizizi Moshi
 
Kumbukeni kesi Ya Lwakatare na Ugadi dhidi Ya Msacky. Steven Wasira na Mwigulu Nchemba hawakufanikiwa kuifuta Chadema. Hapa polisi inatakiwa wauthibitishie Ulimwengu Kuwa Mbowe ni Gaidi, vinginevyo Kuna giza nene mbeleni.
Ila akitajwa gaidi Sabaya unashangilia
 
Back
Top Bottom