Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,347
- 6,471
Mimi nilifikiri CCM wanataka viongozi watakao kiongoza chama vizuri lakini wanataka wale watakao kipigania kama alivyoongea mwenyekiti wake JK (PhD). Hivi kwenye ulingo wa vyama vingi vya siasa, chama tawala kinapiganiwaje kubaki madarakani? Je, hakuna viongozi wa ngazi za juu wa serikali wanaokipigania CCM kubaki madarakani?