Bila ya huyu bwana China ingekuwa kama Tanzanian ya leo, lakini yeye aliua mawaziri wanne ambao walikuwa vigogo wa rushwa,aliua watu wengine 21 kutoka idara mbalimbali za serikali ambao walikuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya nchi.Alikuwa waziri mkuu kabla ya aliyepo sasa Wu jia bao.hivi sasa yuko beijing na ni ktk watu wanaoheshimika sana China, hivi sasa ana miaka 82.