Jamani, UDIWANI, UBUNGE si dili sasa, DILI ni URAIS. Hebu wenye taarifa ya jumla yote toka kwenye vituo vyote hata kama haijathibitishwa na tume, WAIMAGE HAPA.
TV wanaboa tu, story zao za tuchosah. Tumeshindwa hata kufanya kazi. Inamaana kujumlisha ni taabu jamani?
TV wanaboa tu, story zao za tuchosah. Tumeshindwa hata kufanya kazi. Inamaana kujumlisha ni taabu jamani?