Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Nyie ndio mlimuua eeh 😎😎He is no more....
Nyie ndio mlimuua eeh 😎😎He is no more....
Yes, lakini yule alikuwa kazini. Wakiwa kazini huwa wanakuwa nazo, ingawa huwa zinakuwa handed over ( ukimaliza shift yako unakabidhi kwa anayeingia )TISS walitumika vibaya sana kipindi hicho. Hawanaga tamaduni ya kutembea na siraha kila mahala, labda kama wapo kwenye mission flani yenye kujihami
Wapuuzi wachache sana, walikuwa wataka kufanya nchi kama yao.. Hapo na mambo ya kutishiana na vyuma kwa mtu ambae ni waziri sio kibaki ndio utaona order ilivyokuwa ya kishamba na walio tumwa wakawa wapuuziYes, lakini yule alikuwa kazini. Wakiwa kazini huwa wanakuwa nazo, ingawa huwa zinakuwa handed over ( ukimaliza shift yako unakabidhi kwa anayeingia )
In short lile tukio lilikuwa ni mihemko juu ya mihemko.Wapuuzi wachache sana, walikuwa wataka kufanya nchi kama yao.. Hapo na mambo ya kutishiana na vyuma kwa mtu ambae ni waziri sio kibaki ndio utaona order ilivyokuwa ya kishamba na walio tumwa wakawa wapuuzi
Mchawi corona brother 😂😂😂Nyie ndio mlimuua eeh 😎😎
Mimi wakati Magu anabishana na Corona, nikawa nawaambia watu nyie tulieni:Mchawi corona brother 😂😂😂
2. Pia tunataka kuelezwa, Je, kosa la Nape lilikuwa ni lipi kwenye hilo saga hadi akapelekea kupoteza kazi yake ya uwaziri?
sio wewe kweli jamani, au wewe ndio corona mwenyeweMchawi corona brother 😂😂😂
Leo ndio nimejua ukishacheza na bastola mnazoeana haziuiNape alishacheza na hizo bastola , ndio maana jamaa alivyoitoa alidhani atamshtua ndio kwanza mikono ilibaki mifukoni na hakusogea hata hatua moja...
sawa mkuu umeeleweka!!Alipoteuliwa kwani aliambiwa sababu kwanini aliteuliwa? Kama hakuambiwa alipoteuliwa hivyo hivyo haambiwi anapotumbuliwa!! You serve at the pleasure of the appointing authority!!! Nyie mnaotaka kuelezwa ni wakina nani mliyetumwa na Nape?
Afu mabeberu nao wakachomoa battery 😁sio wewe kweli jamani, au wewe ndio corona mwenyewe
so i heard.is it true?He is no more....
hakuwa na uwezo wa kujibu hoja when comes to one to one arguments alikuwa ni mtu dhaifu sana - ikifikia hatua hiyo kinachofuata ni yeye kuwaambia wasaidizi wake wakushughulike in / out thats it.Ukweli Jiwe alikuwa mwoga sana
Huku akijifanya mbabe
The Son of the King...... Daudi Albert Bashite - the formal Superhero - aka attachable.Kupingana na Mtoto Mpendwa wa aliyetwaliwa kilazima na Israeli ambaye ni Moron, Crook and Hellacious Paul Christian Makonda ( Daudi Albert Bashite )
Hamo rapa
Kumuona mtu ambaye humjui, huwezi kutambua kama ni nani.Nafikiri Hamorapa anaweza akakupa JIBU maana yeye ana USHAHIDI wa kuliona tukio kwa MACHO
Umemuona Harmorapa alivyokimbia wakati yeye hakuwa mhusika wakati mhusika anayetishiwa hajasogea hata hatua moja tena akiwa mtulivu?Leo ndio nimejua ukishacheza na bastola mnazoeana haziui