FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Naombeni process za kufunga tawi'hata number za simu ikiwezekana kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa no 0714519880
Good move, nakuunga mkono. Naomba Mh Mnyika atusaidie kufungua tawi letu Kibamba Hospitali/Kwa Mangi
big up! Chadema itajengwa na wenye moyo siyo wenye pesa za kifisadi kama ccm.
Naombeni process za kufunga tawi'hata number za simu ikiwezekana kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa no 0714519880
That's Peoples' power!!! Mpaka kieleweke....
ili kufungua tawi inatakiwa muanze na msingi wa wanachama 8 then misingi ikiwa miwili au zaidi ndo mnaweza kufungua tawi.kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya chama...chadema.or.tz
ila ujue mkuu kuna mikiki mikiki mingi utakutana nayo ila nakuunga mkono sana tu bro
kaza moyo kaka,mpaka kieleweke ndo mwisho wa mapambano...