Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Tunapomchagua Rais, maana yake ni kwamba tumeajiri mtu atutumikie. Tunamlipa mshahara kwa kodi zetu, na tunamlida kwa Vyombo vya usalama kupitia kodi zetu.
Huyu tuliyemwajiri tunatakiwa tumpe job description na tuangalie utendaji wake. Hivi tutavipata kwenye katiba bora.
Mtumishi wetu anapotwambia sisi waajiri wake kwamba katiba siyo priority yake,.. That is an insult.
Tujiulize swali. Tunataka katiba mpya au tunaomba katiba mpya?
Huyu tuliyemwajiri tunatakiwa tumpe job description na tuangalie utendaji wake. Hivi tutavipata kwenye katiba bora.
Mtumishi wetu anapotwambia sisi waajiri wake kwamba katiba siyo priority yake,.. That is an insult.
Tujiulize swali. Tunataka katiba mpya au tunaomba katiba mpya?