Tunataka katiba mpya au kiraka kipya ??/

AMARIDONG

JF-Expert Member
Jun 24, 2010
2,502
180
Wadau kabla ya kufikia mabadiliko ya katiba ni lazima tujuekitu tunachotaka kama ni katiba mpya au kiraka kipya

katiba yetu ina mapungufu mengi kwa mfano
-katiba tuliyonayo leo ni ya mwaka 1977,
-Katiba hii iliundwa bila kuwashirikisha wananchi
-Katiba hii inakabiliwa na changamoto nyingi,kama Nafasi ya raisi katika kutunga sheria,Muungano,Nguvu na Mamlaka ya raisi,Tume ya Uchaguzi,Nafasi ya raisi wa Zanzibar,Msajili wa vyama vya siasa

na mengne mengi,

embu tuangalie kwanz ni kweli tunahitaji kiraka kingine au tunataka katiba mpya
nionavyo Waziri Mkuu kachemka sisi tunataka KATIBA MPYA na sio KIRAKA KIPYA
 
Wadau kabla ya kufikia mabadiliko ya katiba ni lazima tujuekitu tunachotaka kama ni katiba mpya au kiraka kipya

katiba yetu ina mapungufu mengi kwa mfano
-katiba tuliyonayo leo ni ya mwaka 1977,
-Katiba hii iliundwa bila kuwashirikisha wananchi
-Katiba hii inakabiliwa na changamoto nyingi,kama Nafasi ya raisi katika kutunga sheria,Muungano,Nguvu na Mamlaka ya raisi,Tume ya Uchaguzi,Nafasi ya raisi wa Zanzibar,Msajili wa vyama vya siasa

na mengne mengi,

embu tuangalie kwanz ni kweli tunahitaji kiraka kingine au tunataka katiba mpya
nionavyo Waziri Mkuu kachemka sisi tunataka KATIBA MPYA na sio KIRAKA KIPYA

tunataka katiba mpya kiraka kipya ndio mdudu gani huyo Pinda aendeee na ujinga wake sisi tunataka katiba mpya
 
na watanzania inabid tusimame imara kuhusu hili la sivyo...changa la macho! manake hii siri-kali yetu hii...mmmh!!
 
Back
Top Bottom