Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 352
- 170
Je umemaliza maswala ya IT hasa Programming kwa kutumia C++ (with MySQL)?
Nipo na kikundi cha Watanzania kadhaa katika kuanzisha Biashara ya IT.
Tunatafuta Wataalamu wawili ambao watakuwa Wabia pia wa kampuni kama Programmers.
ANGALIZO:
1. Hatutafuti Wafanyakazi ila Wabia. Uwe na Laptop au Computer yako.
2. Umri tungelipenda usizidi miaka 30. Ila kama umezidi kidogo unakaribishwa.
3. Tungelipenda zaidi vijana waliomaliza Chuo ila wana kazi PART TIME.
Kwa maelezo zaidi niandikie Inbox au
email: Ssambali@hotmail.com
Whatsapp: +48 503 535 735
Skype: Ssambali.
Nipo na kikundi cha Watanzania kadhaa katika kuanzisha Biashara ya IT.
Tunatafuta Wataalamu wawili ambao watakuwa Wabia pia wa kampuni kama Programmers.
ANGALIZO:
1. Hatutafuti Wafanyakazi ila Wabia. Uwe na Laptop au Computer yako.
2. Umri tungelipenda usizidi miaka 30. Ila kama umezidi kidogo unakaribishwa.
3. Tungelipenda zaidi vijana waliomaliza Chuo ila wana kazi PART TIME.
Kwa maelezo zaidi niandikie Inbox au
email: Ssambali@hotmail.com
Whatsapp: +48 503 535 735
Skype: Ssambali.