Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,749
- 71,117
Mkakati wa CCM wa kuwaokoa wezi katika sakata hili la akaunti ya Escrow utatuaibisha kama taifa huko tuendako. Wahisani walisitisha misaada yao ya Kibajeti kwa Tanzania hadi scandal hii ishughulikiwe. Hii inamaana hata ukweli wanaujua ila hatua za kuchukua ni juu ya Bunge na serikali yetu wenyewe
Sasa nafasi hiyo imepatikana lakini kwa mastajabu ya wengi ni kuwa sasa kuna mkakati wa kuwatetea wahusika. Tunajua wazi kuwa hizo fedha za wahisani ni kodi za watu wao sasa kama tunalia shida lakini fedha zetu zinatafunwa tunachekelea basi watakuja na option mbaya sana kwetu kwamba kama hamchukui hatua kwa huyu na yule basi hamna sababu ya kuwapa misaada hii na ile. JEE HILI NDIO WATANZANIA TUMEWATUMA WABUNGE WETU? KWAMBA KUCHUKUA HATUA MPAKA TUSHINIKIZWE NA WAHISANI
Sasa nafasi hiyo imepatikana lakini kwa mastajabu ya wengi ni kuwa sasa kuna mkakati wa kuwatetea wahusika. Tunajua wazi kuwa hizo fedha za wahisani ni kodi za watu wao sasa kama tunalia shida lakini fedha zetu zinatafunwa tunachekelea basi watakuja na option mbaya sana kwetu kwamba kama hamchukui hatua kwa huyu na yule basi hamna sababu ya kuwapa misaada hii na ile. JEE HILI NDIO WATANZANIA TUMEWATUMA WABUNGE WETU? KWAMBA KUCHUKUA HATUA MPAKA TUSHINIKIZWE NA WAHISANI