Tunasubiri maafa yatokee UDSM?

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Kuna kipindi nilisikia kwamba majengo ya hostel pale Main campus {hall 2 & 5} kuwa hayafai kukaliwa na watu. Nakumbuka kuna wanaharakati waliliongelea hili lakin hakuna aliyewasikia. Na cha kusikitisha majengo yanabeba watu, mara mbili ya uwezo wake. Je tunasubiri maafa ndipo tujue kwamba yale majengo yameoza? Na ikija kutokea tutapata idadi ya ajabu ya wahanga pale. Nawasilisha.
 
Pamoja na kuegama wako wadau walishawahi sema kwamba yanatitia na kama haitoshi mule ndani kuna nyufa za uhakika ambazo ni hatari tupu! Ila mhh mpaka siku yatakaponynga watu, then tutapeperusha bendera nusu mlingoti na kuuza sura za huzuni yanapita hakuna atakayekuwa responsible hata mmoja! Hii ndo bongo yetu!
 
Halafu kuna maprofesa wa uhandisi na mambo mengine hivi kweli kuna umuhimu wa elimu?
 
Kuna kipindi nilisikia kwamba majengo ya hostel pale Main campus {hall 2 & 5} kuwa hayafai kukaliwa na watu. Nakumbuka kuna wanaharakati waliliongelea hili lakin hakuna aliyewasikia. Na cha kusikitisha majengo yanabeba watu, mara mbili ya uwezo wake. Je tunasubiri maafa ndipo tujue kwamba yale majengo yameoza? Na ikija kutokea tutapata idadi ya ajabu ya wahanga pale. Nawasilisha.

Sio hall 2&5 tu isipokuwa chuo karibia chote kimeoza. Hall 5 inatisha. Tembelea kule Engineering pia uone.
 
<b>Nao wanafunzi wakiambiwa wasibebane hawasikii!</b>
mkuu tusiwalaumu wanafunzi, tujiulize kwanini wanabebana? Mi nashindwa kuelewa nini kinachokwamisha kuongeza majengo ya hostel, huwa sielewi kabisa.
 
Kuna kipindi nilisikia kwamba majengo ya hostel pale Main campus {hall 2 & 5} kuwa hayafai kukaliwa na watu. Nakumbuka kuna wanaharakati waliliongelea hili lakin hakuna aliyewasikia. Na cha kusikitisha majengo yanabeba watu, mara mbili ya uwezo wake. Je tunasubiri maafa ndipo tujue kwamba yale majengo yameoza? Na ikija kutokea tutapata idadi ya ajabu ya wahanga pale. Nawasilisha.

Mkuu hebu tupatie engineering proof za kuonesha kuwa jengo linaanguka please usisahau kuwa strenght ya jengo inkua determined by the qulity of beams and columns za jengo je zime deviate from standard? Isije ikawa wewe ukiona rangi ya jengo chafu unaconclude kuwa jengo litaanguka...
still i'm waiting for Engineering analysis
Pl
 
Harafu tutakataa misaada ya vodacom kwasababu yeye ame-promote ulimbwende siku ya tukio la kizembe lilotokana na serikali legelege isiyo na maamuzi, yeneye utitiri wa agencies zinzojinufaisha na taxpayers' money bila kutimiza wajibu.
Pamoja na kuegama wako wadau walishawahi sema kwamba yanatitia na kama haitoshi mule ndani kuna nyufa za uhakika ambazo ni hatari tupu! Ila mhh mpaka siku yatakaponynga watu, then tutapeperusha bendera nusu mlingoti na kuuza sura za huzuni yanapita hakuna atakayekuwa responsible hata mmoja! Hii ndo bongo yetu!
<br />
<br />
 
Mkuu hebu tupatie engineering proof za kuonesha kuwa jengo linaanguka please usisahau kuwa strenght ya jengo inkua determined by the qulity of beams and columns za jengo je zime deviate from standard? Isije ikawa wewe ukiona rangi ya jengo chafu unaconclude kuwa jengo litaanguka...<br />
still i'm waiting for Engineering analysis<br />
Pl
mkuu sijaangalia uchakavu, bahati mbaya sina hiyo ripot ila wenye data zaidi nadhan watatujuza.
 
Ndo maana vijana wote wakipewa kazi wanakuwa mafisadi-chuo majengo yameoza, huko sekondari walikotokea ndo usiseme........ni muendelezo wa maisha yasiyo na matumaini ya kufika kesho. Hata ukienda SUA majengo yanatisha:hostel 3 vyumba vinavuja. Inv building ndo hiyo Eng. Mlengela ali-condemn kuwa not fit fo occupancy lakini academician wengine wakaziba masikio. No government- to say afew.<br />
Sio hall 2&amp;amp;5 tu isipokuwa chuo karibia chote kimeoza. Hall 5 inatisha. Tembelea kule Engineering pia uone.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
Ndo maana vijana wote wakipewa kazi wanakuwa mafisadi-chuo majengo yameoza, huko sekondari walikotokea ndo usiseme........ni muendelezo wa maisha yasiyo na matumaini ya kufika kesho. Hata ukienda SUA majengo yanatisha:hostel 3 vyumba vinavuja. Inv building ndo hiyo Eng. Mlengela ali-conderm kuwa not fit fo occupace lakini academician wengine wakaziba masikio. No government- to say afew.
<br />
<br />


ndugu hapo kwenye red, ni condemn na occupancy, tuwe makini
 
Wadai ni Pisa's tower kama ile ya kule Italy.....Tahadhari kabla ya hatari ni hatua muhimu sana ktk kuepusha maafa ya namna yeyote.Hata kwenye vitabu vitakatifu tunaonywa kuchukua tahadhari kabla ya kiama.
 
Na tume zitaundwa,wataletwa wataalam wa Estate,CoET,Ardhi university na wizara ya elimu,ya tibaijuka,,,,,,tanzania bwana,ni kweli hayafi,nimeish pale miaka mitatu,kwakweli kuna muda zege za nyuma ya jengo hujiachia hata mziki ukiwa wa sauti ya juu
ikitokea maafa watasema bwana ametwaa na bwana ametoa. halafu tutasahau
<br />
<br />
 
Kuna kipindi nilisikia kwamba majengo ya hostel pale Main campus {hall 2 & 5} kuwa hayafai kukaliwa na watu. Nakumbuka kuna wanaharakati waliliongelea hili lakin hakuna aliyewasikia. Na cha kusikitisha majengo yanabeba watu, mara mbili ya uwezo wake. Je tunasubiri maafa ndipo tujue kwamba yale majengo yameoza? Na ikija kutokea tutapata idadi ya ajabu ya wahanga pale. Nawasilisha.

wanachuo kwa dini zenu mnatakiwa msali sana kumwomba mungu,maana hapo kuna watu yamkini wanaombea mfe wapewe kamati ya kuchunguza hicho chanzo cha kubomoka majengo.mh msipoomba kwa mungu kweli mtaangamia sanaaa
 
Kuna kipindi nilisikia kwamba majengo ya hostel pale Main campus {hall 2 & 5} kuwa hayafai kukaliwa na watu. Nakumbuka kuna wanaharakati waliliongelea hili lakin hakuna aliyewasikia. Na cha kusikitisha majengo yanabeba watu, mara mbili ya uwezo wake. Je tunasubiri maafa ndipo tujue kwamba yale majengo yameoza? Na ikija kutokea tutapata idadi ya ajabu ya wahanga pale. Nawasilisha.

Ikitokea hiyo itakuwa poa sana, maana wasanii watatunga nyimbo nyingi na picha zake zitapendeza sana si unajua hall 2 na hall 5 na kama Twin towers za sept 11, tunalisubiri hilo kwa hamu watanzania tuwe kwenye ramani ya dunia tena. Hebu imagine vichwa vya habari katika vyombo vya nje. Dar University Disaster, Hostels collapse in Dar, Dar Urges for Intl Aids, Dar Mourns Intellectuals na hapa bongo Daily news nalo Hill Twin Towers Kill Thousands, The African nalo Dar Varsity in Sorrows na lile jingine litasema Bodi ya Mikopo Yapunguziwa Mzigo. Wow! kwa kweli
inavutia
 
wanachuo kwa dini zenu mnatakiwa msali sana kumwomba mungu,maana hapo kuna watu yamkini wanaombea mfe wapewe kamati ya kuchunguza hicho chanzo cha kubomoka majengo.mh msipoomba kwa mungu kweli mtaangamia sanaaa
mi nashukuru Mungu nilitoka salama, nilikaa miezi miwili tu pale hall 5, floor ya 11.
 
Hakika ni vema kushukuru kwa kila jambo, lakini kama bado uko nchi hii na haya utayaepuka?!- meli mbovu, ndege mbovu, magari mabovu, pkpk mbovu na madereva wabovu, umeme unaowaka ovyo ovyo, maji machafu etc..........
mi nashukuru Mungu nilitoka salama, nilikaa miezi miwili tu pale hall 5, floor ya 11.
<br />
<br />
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom