Tunastaafu bado madeni ya Polisi wanayoidai Serikali ni miaka 7 bado haijalipwa

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Haya ni mateso juu ya mateso, Nauli za baada ya kustaafu ni kitendawili, Penesheni ya PSSSF kulipwa ni kitendawili, Madeni pindi tunaenda kozi za vyeo pamoja na kukatwa kwenye mshahara kila mwezi laki 290 elfu kujisomesha kwenye chuo cha serikali kila mwezi bado hatujalipwa nauli zetu za safari masomoni.

Hivi kuna nia njema kwetu au ndio tuhesabu maumivu au tusahau kabisa. Hii sio haki hata kidogo. watu wapo kwenye viyoyozi wanapumzika tu wanakula raha sisi ndio wenye mateso makubwa namna hii kweli. Kulalamika sio kosa kisheria natoa dukuduku ili wenye makosa wajue hapa wanatukosea sana kwa hili.

Hata sisi tuna wanaotutegemea.
 
Wakisema katiba mpya ni suluhusho mnawapiga marungu, wakati mnaugulia ndani kwa ndani ila nyie watu bhana
 
Haya ni mateso juu ya mateso, Nauli za baada ya kustaafu ni kitendawili, Penesheni ya PSSSF kulipwa ni kitendawili, Madeni pindi tunaenda kozi za vyeo pamoja na kukatwa kwenye mshahara kila mwezi laki 290 elfu kujisomesha kwenye chuo cha serikali kila mwezi bado hatujalipwa nauli zetu za safari masomoni.

Hivi kuna nia njema kwetu au ndio tuhesabu maumivu au tusahau kabisa. Hii sio haki hata kidogo. watu wapo kwenye viyoyozi wanapumzika tu wanakula raha sisi ndio wenye mateso makubwa namna hii kweli. Kulalamika sio kosa kisheria natoa dukuduku ili wenye makosa wajue hapa wanatukosea sana kwa hili.

Hata sisi tuna wanaotutegemea.
hamruhusiwi kulalamika. si ndio
Endeleeni kusimamia mambo mabaya wanayofanyiwa raia wema. mnasaidia na kuiba kura pia
malipo ni hapa hapa
 
Jinyonge Mwamba cwapend hamna utu dunia yenu mnashndwaje kujiongezea hela wakat wengne wakiwambia hawana n vrungu aisee
 
Tanzania hatuna jeshi kwa miaka ya karibuni, mmebaki kuwa vibaraka wa wanasiasa

Kwa sasa mnavuna madhara ya kujazana form four failure huko jeshini, yani mnamiliki mabunduki,vifaru halafu eti mnashindwa hata kuwajambisha kidogo watawala!
 
Back
Top Bottom